Recent content by chung cho

  1. chung cho

    Mkoa Gani Hapa Tanzania Unaovutiwa Nao Na Ungependa Siku Moja Uweze Kuutembelea!!

    Dar es salaam nikitoka hapo marekani nchi iliyo damuni. For God wish i will see the way
  2. chung cho

    Msaada: Usaa kutoka kwenye uume wangu

    Nahitaji msaada, ni siku nyingi zilikuwa zimepita bila kufanya mapenzi na mwanamke yoyote ila hivi karibuni nilikutana na binti ambaye nilianza mahusiano naye. Ni muda hajawa na mtu hivyo tulitumia kinga then baadae tuliacha kutumia kinga na kufanya tendo bila kinga kama watu tunaoaminiana...
  3. chung cho

    Chuo kipi kati ya hivi unakikubali zaidi na kipi kati yao kinabolonga..!!

    Udsm ni chuo kinachoongoza kuwa na maprofesa wengi na weledi tanzania hivyo hata elimu inayopatikana hapo ni bora ukilinganisha na vyuo vingine. Tatizo la udsm ni miundo mbinu tu lakini kwa elimu bora hapana chezea tanzania hata afrika
  4. chung cho

    Mwanafunzi wa kike UDSM MLIMANI akutwa amekufa

    Hata ungetaka asome hapo hana uwezo wa akili ya kupata nafasi ya kusoma chuo kikuu cha daresalaam kwa hiyo endelea hivyohivyo itakusaidia kisaikolojia. Jipange sana
  5. chung cho

    Kambi Rasmi ya Upinzani wasusia Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini na kutoka nje ya Bunge

    Wananchi tunaunga mkono msimamo wenu Ukawa matunda yenu yanaonekana na Mungu awalinde mpaka mtakapoingia ikulu na kuingiza zaidi ya 50% ya wabunge bungeni.
  6. chung cho

    Hivi walimu kulipia kodi ya nyumba kwa mishahara yao ni sawa?

    Wewe ni failure by nature ufahamu wako tu hauna haja ya kujadiliwa sana. Umaskini wa kutupwa ndio ubaadae wako.
  7. chung cho

    Mbunge wa Nkasi mh. Ally Kessy asema Wazanzibar wanachosha, ni mzigo

    Kwani ccm mnadhani wananchi ni machizi kudai serekali 3 angalia sasa kessy kashafungiwa kwenda zanzibar akienda tu lazima tindikali ipendane nae. Ccm mjiandae wakati umefika hata ma vx hayatawasaidia kutoroka mikononi kwa wananchi. Ccm mjifunze mbio za miguu na kuogelea zaidi ya siku 10 bila...
  8. chung cho

    hoja yng

    Potezea wewe labda mshahara mdogo mpaka afuatilie demu wake mjini ni gharama sana na wanafunzi wanawezakosa vipindi ndo maana anapata huduma ya chapchap mambo mengine yasilale. Big result now
  9. chung cho

    Fursa kwa wasomi: Vyeti kuwa dhamana ya Mikopo CRDB....!

    Not posible for education certificates to act as a security so as to get loan from the bank. What if the loan not refunded by the borrower, will it reduce the level and knowledge possessed by the customer?
  10. chung cho

    Ipi top 5 yako ya vyuo vikuu bora unavyovikubali Tanzania?

    Yangu macho waliofeli wanapata shida kutaja uhakika na wanaishia kutaja viporo hapa si sehemu ya ushindani. Write truth kama ungekua umefaulu vizuri top five lazima itakua kama ifuatavyo. UDSM MZUMBE MUHAS SUA UDOM
  11. chung cho

    samahani huu ni utani tu!!...kwa walimu waliokosa mshahara wa april..!

    Unabeba screen unaondoka nayo tu. Unaenda kuipiga bei mbele ya safari
  12. chung cho

    Walimu waliokosa Salary ya April...

    Du mpaka sasa ni siasa baada ya tarehe 31 tutapata ukwelinauhakika
  13. chung cho

    Kuokoka ni nini?,

    Kuokoka au wokovu ni kile Yesu anafanya ndani yako mara tu ukishampokea. Wokovu ni badiliko linalotokea katika maisha ya mtu kutoka kwenye ujinga, uharibifu, na kupata akili njema. Kabla mtu hajjaokoka huwa chini ya utawala wa ufalme wa shetani lakini akishaokoka huwa chini ya utawala wa ufalme...
  14. chung cho

    Walimu kusomeshwa bure

    Walimu wa masomo ya sayansi wenye div 1 watasomeshwa bure kwa wale wa masomo ya sayansi wenye div 2 watapewa mikopo ya kusoma watarudisha baadae ila wa sayansi wenye div 3 watajilipia wenyewe. Div 4 matatani hawaeleweki vizuri tz ya leo
Back
Top Bottom