peter wa same
Member
- Feb 1, 2014
- 58
- 7
katika hii field ya ualimu kuna watu tunafanya vibaya sana niko ktk halmashauri flani huku kusini mwa tz nimeripoti tu juzi lkn kinachonikera shule nliopangiwa waalimu wa kiume aslimia kubwa wanachukua madent juzi kuna ticha kashikwa kwny mahindi akiwa na mwanafunzi wa 4m 3 live wako full naked na hiyo imepelekea tudharaulike waalimu wote. ktk kata hii jambo ambalo linakatisha tamaa sana.