Recent content by Chumbageni

  1. C

    JamiiForums Tanzania Hatimaye ndege ya Airbus, Mali ya Tanzania yapaa. Kufika nchini muda wowote.

    Inatumia engine za Pratt & Whitney na lazima zifanyike flight tests hadi hapo Government Flight Agency/ATCL is satisfied ndo ije.
  2. C

    JamiiForums Tanzania Tanzania kupokea ndege mbili aina ya Bombardier C-Series mwezi Novemba 2018

    Bombardier CSeries project sasa ipo chini ya Airbus na badala ya kuitwa CS300 sasa inaitwa A220-300. BOMBARDIER | News and Discussions - Page 37 - SkyscraperCity
  3. C

    JamiiForums Tanzania Air Tanzania 787-8 line 719 at the Boeing Everett fuel dock

    Fuel tank test photo by Matt Cawby @ twitter:
  4. C

    JamiiForums Tanzania ATCL kuanza direct flights to Mumbai

    Kuna demand kubwa sana kutoka Tanzania & East Africa kwenda domestic India for business, leisure, studies na hiyo health tourism. India ni top 5th international tourist arrivals to Tanzania (wanapitia Bole na JOMO etc). Tanzania is second with the most Indian diaspora in East Africa. All this...
  5. C

    JamiiForums Tanzania ATCL kuanza direct flights to Mumbai

    Kwa fikra hizo basi tusiende wanapokwenda hayo mashirika ya ndege??? Air India walipata matatizo kuelekea kufilisika waka drop route ya Nairobi na Dar es Salaam 2010 ili kijipanga na sio kwamba 'route' iliwashinda kwa maana ya uwezo wa abiria. Gulf Air walibadilishana route kwa codeshare na Oman...
  6. C

    JamiiForums Tanzania ATCL kuanza direct flights to Mumbai

    Kwasababu inakuja kabla ya CS300 then baadaye CS300 itaweza kwenda. Lakini pia wataangalia kama abiria wengi wataendelea kutumia 787.
  7. C

    JamiiForums Tanzania Hivi kukomboa ile ndege kweli imeshindikana?

    Imehamishiwa Montreal Mirabel International Airport jana.
  8. C

    JamiiForums Tanzania Gazeti la Jamhuri: Zitto ANYUKWA, Ndege mpya iliyonunuliwa ikiendelea Kutengenezwa

    Siyo Boeing. 1. Ni Airbus Assembly Line 2. Ni Airbus A320 Family 3. Construction Line Number 4356 au 4756 (haionekani vizuri) 4. It is so simple unaweza ukaona distinct feature of typical Airbus A320 windsheild straight across the bottom and a "notched" window. ATCL Boeing 787-8 Dreamliner...
  9. C

    JamiiForums Tanzania Nimemaliza utata kuhusu boeing

    Outdated info
  10. C

    JamiiForums Tanzania Dangote cement plant excites market

    Kiwanda kinajengwa sehemu gani Mtwara?
  11. C

    JamiiForums Tanzania Look how they enjoy at Coco beach!

    Oh my God...you made me laugh so much:lol:...comedians humu
  12. C

    JamiiForums Tanzania Kikwete safarini TENA!

    Ipo siku wananchi watafanya mgomo kwenye runway asipae...wee mwache tu!
Back
Top Bottom