nmezungumza na katibu pamoja na baadhi ya wajumbe wenyewe wanashangaa kilichotokea wanasema kilichofanyika ccm wameiba orodha ya wanachama na kuitangaza kuwa ndo wamehamia ccm hii inanikumbusha.masha aliposema amepita bila kupingwa ..pia hata vingozi wa ccm wenyewe wamekiri kutokupokea wanachama...
wanajamvi. Leo hawajaingia bado ndani ya chumba hiki lakini wakiingia ntawafahamisheni nini wamezungumza, ila nimesikia pia kutoka nje kwenye dilisha la nyuma kuwa eti kilichotokea kule kenya ni mpango maalumu wa kuishinikiza kenya kutojitoa katika mahakama ya ICC kama ambavyo walikuwa...
kikao ambacho kimekalijana kilikuwa kikao cha siri ambacho kilishirikisha baadhi wa wabunge wa ccm kutoka unguja na baadhi ya walio shindwa kwenye uchaguzi wa 2010 kutoka pemba. Na ndio wameishauri kamati maalumu ya kumshauri rais juu ya hili.
muswada wa rasimu ya katiba uliopitishwa kibabe hivi karibuni mjini dodoma na kutakiwa kusainiwa na raisi mheshimiwa hatausaini na badala yake unarudishwa bungeni tarehe 29 october ukajadiwe upiya.
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM bwana Nape Mnauye amewataka wananchi kutokuwashikilia na kuwababaikia mafisadi kama wanavyofanya sasa.
Aliyasema hayo bila kubainisha majina ya mafisadi hao huku akisema mafisadi wanafahamika wazi.
"Mafisadi wa nchi hii wanafahamika na wako wazi lakini...
Hakika hakuna. Marefu yasio na ncha
Ilikuwa siri sasa imefahamika wazi.
Katibu mwenezi wa ccm. Bwana Nape Mnauye amewadhihirishia watanzania kuwa
Nchi hii inaongozwa na Taasisi na si serikali kama wote. Tulivyokuwa tukidhani
Amedhihirisha hayo alipokuwa akihojiwa na Radio wapo katika...
Kila anayesimama sasa naye anataka umaarufu kupitia chadema hivi hawaoni vyama vingine au kwakuwa hawauzi kama chadema?? Hahahaha itakula kwao endeleeni na fkra zenu mgando watanzania wanaelewa hata wafanye vipi...
Tanzaniaaaaa kama nawaona mnavyohangaika kitu kidogo tu cha kutafakari juu ya hili ni kujiuliza nini maana ya mtawala na kiongozi..nini maana ya chama tawala na chama cha siasa..ccm ni wakina nani? Viongozi wako wapi na watawala wako wapi?
Ismani ni jimbo ambalo ililkuwa la kwanza kimkoa kutoa mahindi ndiomaana ikawa na kuzoeleka kuwa mahindi ni na chakula ni kutoka mkoani iringa lakini sasa wapi hakuna kitu na hata wengine wanahoji ilikuwaje akapita bila ya kupingwa wakati watu wamechoka na wanashanga leo isimani kutegemea...
Mala kwa mala nimekuwa nashangazwa na kile kinachofanywa na huyu mtu wa kule iringa maeneo ya isman hivi yuko kwa ajili ya maslahi ya nani pale bungeni maana kila hoja yenye maana kwa watanzania yeye anaipinga na kusema hiyo isijadiliwe
sasa kunamaana gani basi ya wabunge kuwepo pale maana...
nimeshangazwa sana na kuiona barua ya jeshi la polisi tanzania kwenda kwa john mnyika iliyoandikwa juzi leo iko kwenye mitandao kama hujaiona hii hapa
my tak
barua hii imeandikwa na jeshi la polisi,haijamfikia mlengwa lakni tayari iko hapa nani anauza siri za nchi
kwa wale ambao hawafahamu nilikua dodoma siku chache zilizopita nikahisi kitu..nashukuru kwa kuwa hili sasa limeanza kuonekana wazi..lakini swala la Dr.slaa na Rose kamili na ndoa yao halihusiani na Chadema.
hatakama wao wanapanga kukichafua chama hiki inamaanisha kuwa bado kinawapa shida sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.