Kwa kweli uozo uliojaa ktk chama changu(ccm) mwaka 2015 nitatoka na kuwa mgombea binafsi.[/QUOT
Asubuhi tu na utumbo, siku itakwisha kweli?
Shikamoo Shibuda..
Wasifu wake ni kugombanisha vyama vya siasaha ha ha.......yoi have my full support dude, lakini hebu mwaga basi sera zako kiongozi! Tupe na wasifu wako basi kiaina.....
ha ha ha.......yoi have my full support dude, lakini hebu mwaga basi sera zako kiongozi! Tupe na wasifu wako basi kiaina.....
Membe at work maana ndani ya ccm atachakachuliwa na lowassa will crown the tittle
Gombea tu kakukataza nani! Huna haja ya kusema jamvini!Kwa kweli uozo uliojaa ktk chama changu(ccm) mwaka 2015 nitatoka na kuwa mgombea binafsi.
Tusipokuwa macho, tutaongozwa na matahahira mwaka 2015
pole sana mkuu! Jitahd coz nadhan utapata matokeo......Kwa kweli uozo uliojaa ktk chama changu(ccm) mwaka 2015 nitatoka na kuwa mgombea binafsi.
mwakata wuli, endikata???mbona hawa watu sarakasi zimeanza mapema sana? Hadi kufika katikati ya 2014 tutakuwa tumeona na kuskia mengi sana,. Mwakata weya we hazole!?
Akina mwigulu na lusinde usiwasahau ktk kampeni zako wanaweza kukupaisha wanaweza kuwa kampeni meneja wako wazuri tu
Mbona tahira anatuongoza since 2005?Tusipokuwa macho, tutaongozwa na matahahira mwaka 2015