hiyo kesi itaanza kusikilizwa mara baada ya ndoa kufungwa hiyo tar 17...
Uzinzi uzinzi uzinzi! laana juu ya laana juu ya laana. Kwa Kanoni, kwa Sharia, Kwa Sheria kote kote ayafanyayo Slaa ni uzinzi tu.
Huyo ndio kuna wachache wanaoona hilo si kosa wanataka awe Rais wa nchi hii? Dah!
Upuuzi mtupu wanachogombania hata sikioni.
Fisadi Kiwembe ana kesi ya kujibu!
Uzinzi uzinzi uzinzi! laana juu ya laana juu ya laana. Kwa Kanoni, kwa Sharia, Kwa Sheria kote kote ayafanyayo Slaa ni uzinzi tu.
Huyo ndio kuna wachache wanaoona hilo si kosa wanataka awe Rais wa nchi hii? Dah!
Upuuzi mtupu wanachogombania hata sikioni.
zomba bana ushabiki wako huwa naona unakuondolea umakini wako mkuu! Hivi kwenli kuna mtu mzinzi kumzidi no. 1?!!! Hivi hiyo ngoma inayowasumbua top cadles ndani ya serikali na chama imetoka wapi? Siyo kwa ajili ya kupoigiana....
Acha ushbiki mkuu na kuponda wenzio wakati wewe uko kwenye nyumba full vioo!!
Kusema ukweli Dr ana sifa zote za kuitwa Fisadi Kiwembe! Halina mjadala hilo!With all due respect Kibs!! This is too low to come from you!!!
Infidelity ndani ya tops kwenye chama na serikali unaijua!!!
ni wanawake lazima wateteane kupinga ufisadi wa mapenzi
Hapa tunaongelea ushahidi kamili sio hisia na porojo za mitaani.
Kusema ukweli Dr ana sifa zote za kuitwa Fisadi Kiwembe! Halina mjadala hilo!
Sina hakika kama unachotaka kujua ni kigezo kilichotumika, lakini kama ni hivyo, iliangaliwa elimu ya mgombea, mchango wake katika kukijenga/kukikuza chama nk. Nijuavyo, huyu mama alikuwa diwani wa CCM hadi 2010. Alipataje ubunge kwa kipindi kifupi alichojiunga na CDM inabaki kitendawili.
Uzinzi uzinzi uzinzi! laana juu ya laana juu ya laana. Kwa Kanoni, kwa Sharia, Kwa Sheria kote kote ayafanyayo Slaa ni uzinzi tu.
Huyo ndio kuna wachache wanaoona hilo si kosa wanataka awe Rais wa nchi hii? Dah!