Recent content by Chum Kane

  1. Chum Kane

    Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

    Siamini nimemaliza page 33 usiku huu wa saa 6
  2. Chum Kane

    Siipendi hii tabia, lakini nashindwa kuiacha

    Kama unatumia uzazi wa mpango acha.
  3. Chum Kane

    Mnakumbuka bifu kali Jamvini kati ya Gentamycime na Nifah 2014-2015

    Nimemkumbuka @lara1 sijui kapotelea wp. Amani kwako Lara.
  4. Chum Kane

    Dear Baby, Ukiniomba tu hela basi mimi na wewe tumemalizana..!!!

    Hujawahi msaidia mwanamke matumizi? Ndio uanaume huo. Mimi nina miaka 55 na kila mwezi natoa posho ya mke. Pia, kwa Muislamu mwanamke anatakiwa ahudumiwe na Mume. Sijui wewe, ila mimi nafurahia sana kumsaidia. Nimefanya hivyo mwaka wa 21 huu.
  5. Chum Kane

    Dear Baby, Ukiniomba tu hela basi mimi na wewe tumemalizana..!!!

    Hivi hamuoni raha kusaidia wapenzi wenu pesa? Vijana wa 2000 tabu tupu. Mwanaume ni kumsaidia mwanamke matumizi. Acheni ujinga watoto wadogo.
  6. Chum Kane

    Hamisa Mobetto na Azizi Ki Dubai

    Kumekucha.
Back
Top Bottom