Recent content by Chum Kane

  1. Chum Kane

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana Usithubutu kuzaa nje ya Ndoa! Tafadhari sana! Uliza wakongwe

    Inatokea tu. Ajali kazini.
  2. Chum Kane

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unawezaje kuishi na mwanamke mwenye hasira kali na mrahisi wa kuzila na kufoka?

    Wangu naye yuko hivyo, ila akivua nguo nikaona tako na UNO lake nasahau yote... Mwanamke kaumbika huyu. Mungu nipe uvumilivu.
  3. Chum Kane

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukubwani kuna yule rafiki au mpenzi ambaye kamwe huwezi kuja kumsahau kwenye maisha yako hata kama maisha yatawatenganisha. Ni nani huyo

    Asee.... Mm sina. I have people who am grateful. Ila Sio ki hivyo.
  4. Chum Kane

    JamiiForums Tanzania Dada wa Wema Sepetu akutwa na hatia ya utakatishaji fedha Marekani

    Vp kala mvua ngapi huyu?
  5. Chum Kane

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume Jifunzeni Ku-Handle Familia Zenu: Usikubali Uongozi wa Nyumba Ugeuke Ukoloni!

    Mwanaume HACHEAT. Keep that in your mind.
  6. Chum Kane

    JamiiForums Tanzania CCM msiingize ajenda udini kwenye matamko ya TEC Kama mlivyo anza kufanya ili kutafuta huruma, hata MAGUFULI alionywa mara nyingi na TEC

    Katoliki wana Udini sana. Hizo propaganda zao wapeleke ROMA.
  7. Chum Kane

    JamiiForums Tanzania Carina alishindwaje kumjengea mama yake hata kibanda huko kivule mpaka leo familia nzima wanaishi nyumba za kupanga ?

    Miafrika ndivyo ilivyo. Hayana empathy kabisa.
  8. Chum Kane

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

    Siamini nimemaliza page 33 usiku huu wa saa 6
  9. Chum Kane

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siipendi hii tabia, lakini nashindwa kuiacha

    Kama unatumia uzazi wa mpango acha.
  10. Chum Kane

    JamiiForums Tanzania Mnakumbuka bifu kali Jamvini kati ya Gentamycime na Nifah 2014-2015

    Nimemkumbuka @lara1 sijui kapotelea wp. Amani kwako Lara.
  11. Chum Kane

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dear Baby, Ukiniomba tu hela basi mimi na wewe tumemalizana..!!!

    Hujawahi msaidia mwanamke matumizi? Ndio uanaume huo. Mimi nina miaka 55 na kila mwezi natoa posho ya mke. Pia, kwa Muislamu mwanamke anatakiwa ahudumiwe na Mume. Sijui wewe, ila mimi nafurahia sana kumsaidia. Nimefanya hivyo mwaka wa 21 huu.
  12. Chum Kane

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dear Baby, Ukiniomba tu hela basi mimi na wewe tumemalizana..!!!

    Hivi hamuoni raha kusaidia wapenzi wenu pesa? Vijana wa 2000 tabu tupu. Mwanaume ni kumsaidia mwanamke matumizi. Acheni ujinga watoto wadogo.
  13. Chum Kane

    JamiiForums Tanzania Hamisa Mobetto na Azizi Ki Dubai

    Kumekucha.
Back
Top Bottom