Recent content by Chubby255

  1. C

    JamiiForums Tanzania Katika ujasiriamali sio hamasa pekee inayojenga biashara, unahitaji uvumilivu na mtazamo sahihi zaidi

    Kabisa ila ndo hivyo tunapambana 😮‍💨
  2. C

    JamiiForums Tanzania Katika ujasiriamali sio hamasa pekee inayojenga biashara, unahitaji uvumilivu na mtazamo sahihi zaidi

    sisi wengine tunapitia mikopo 😮‍💨 mpk ugombane na mtu ndo upate hiyo pesa
  3. C

    JamiiForums Tanzania Huko FB wananchi wanafurahia kifo cha Kamishina wa polisi. Taifa limefikia pabaya sana.

    kwani kuna ambae hajafurah 😁
  4. C

    JamiiForums Tanzania Nini kimesababisha mchango wa Waislamu katika harakati za siasa za mapambano Tanzania kuwa ukipungua ?

    wengi wao sasa hivi wapenda ubwabwa
  5. C

    JamiiForums Tanzania Kwa tunapoelekea Tutakua Tunasalia ndani

    I hope mko poa wakuu. Hivi ni hili kanisa letu au yote ya kilokole michango ni mingi yaani hawaangalii unaingiza sh ngapi ni michango tu ata ukitoa ulichonacho unaambiwa ni kidogo mara sijui unamubia Mungu mara wewe ni kaidi. Mungu atanisamehe kwenye haya maamuzi. Kuna; -Mchango wa ujenzi...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, niko Dar Es Salaam

    Nicheki Dm ndugu yangu tuongee vizuri
  7. C

    JamiiForums Tanzania Mama yangu ni mtu ambae amekua akinikwamisha kwenye maendeleo yangu

    Kuna muda ata nashindwa Kuelewa wallah….. Mimi ni Mjasiliamali niko na wazazi wote 2 na nakaa kwetu by the way Mama angu ni mtu ambae amekua akinikwamisha jamaaan 😮‍💨 mzee alipanga kunipa pesa ya mtaji kuniongezea biashara ikue nilisagiwa kunguni jamaan mara mimi nakopesha sana silipwi, mara...
  8. C

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Balala ya kushukuru Mungu alipokutoa unasema mtume Mazafaka 😒 mnaibiwa Kenge nyie Ukipata Time kaangalie MAKRI YA INJILI youtube
Back
Top Bottom