I hope mko poa wakuu.
Hivi ni hili kanisa letu au yote ya kilokole michango ni mingi yaani hawaangalii unaingiza sh ngapi ni michango tu ata ukitoa ulichonacho unaambiwa ni kidogo mara sijui unamubia Mungu mara wewe ni kaidi. Mungu atanisamehe kwenye haya maamuzi.
Kuna;
-Mchango wa ujenzi...
Kuna muda ata nashindwa Kuelewa wallah…..
Mimi ni Mjasiliamali niko na wazazi wote 2 na nakaa kwetu by the way
Mama angu ni mtu ambae amekua akinikwamisha jamaaan 😮💨 mzee alipanga kunipa pesa ya mtaji kuniongezea biashara ikue nilisagiwa kunguni jamaan mara mimi nakopesha sana silipwi, mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.