Viomgozi wachache wanatuchanganya kwa maslahi yao au na nyie mpata mafungu?,,Ukweli wa hili linakuja kwani haya yanasemeka hawajayakana wahusika tuweni macho.
Naanza kuwa na wasiwasi isije ndo kuna mikono ya wale mapapa waliomaliza Tembo maana pesa hizii wengine tunaangaika tuzipateje mwenzenu anajiuliza azifanyie ni ni?
Ujasusi unafahamu maana yake kumbe mnakitengo chamajasusi?mbona cku zote mmekataaleo umeropoka mwenyewe? Hata kwavp hawezi kuchukua jimbo la Bunda huyo Ester wako ndo maana alianza mapema kuanzisha ligi ya majezi hatudanganyiki tusubiri unikumbushe baada ya uchaguzi
Unapomshauri mwakibinga tuu ungeanza na Lowasa ningekuunga mkono ndugu yangu tuwe makini na wanaohama kwa sababu wamekosa au kukatwa siyo kuwa wamependa mfano namfagilia Ester na Limbeli walipenda wengine wote wafa maji waroho wa madaraka ndo kweli wenyewe kwanini baada ya kushindwa tuu?kwamba...
Wadau naomba mnisaidie UKAWA ina muungano wa vyama vinne lkn najiuliza mbona wote wanaojiunga nao kwa kipindi hiki wanapitia Chadema tuuu?mnisaidie tuanze mjadala.
Kwani mtikisiko aliouongea mwenyekiti ni halafu nkumbuke hawajajibiwa chochote lolote na upande wa pili halafu mtiwenye matunda ndo hurushiwa mawe tuwe na akili Tukumbuke enzi za NAC ilikuwaje halafu baadae makubaliano yaliishia wapi ninachoamini baada ya ichaguzi UKAWA ikidumu kwa miezi miwili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.