Nashukuru ata wanasheria mmeliona ili. Ukweli ni kuwa chuki .fitna .majungu wanayomjengea mbunge ndio sababu hasa ya maamuzi yetu magumu. Atuishi kwa kutegemea atatufanyia nini. ?Ila tuna oppose khila za mafisadi
Kama si changamoto za mbunge huyo fisadi angetoa mifuko 100 .hiyo sec ilikuwepo miaka mingi na Pallanjo alikuwepo nini walifanya. Ili wasiwe na aibu. Tumejipanga tunapiga kura upinzani ili mlete izo escrow
Hapo polisi watakuwa wametekeleza wajibu wao .tulioibiwa tupo w
Wezi wapo
Taarifa imetolewa mpaka bungeni
Swala liende mahakamani . sheria ikatafisiriwe maisha yaende. Siasa mpaka makanisani msikitini itakoma
Kuwa kimya ni muda wa tafakari. Muda wa ibada. Ndiyo maana cdm atutaki mafisadi .Wala rushwa na watoa rushwa mam vi. Tunamkusanyia ushaidi na nguvu
Muda si mrefu.
Huo ni ukweli mtupu sadiki kama utaki jilazimishe upofu .sit kweli wameapishwa Wajumbe waliokosa kura. Si ccm imewageuka watanzania na kuwapora Rasilimali zote na sasa fedha taslimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.