Salim Ahmed Salim, yule Mpemba wa Mkoani asiye na makundi,nongwa wala visasi.
Mwepesi kusamehe na kusahau,msikivu na mchapa kazi.
Alikua last PM (of the URT)wa Mwalimu Julius Nyerere,
Akawa waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa(+naibu waziri mkuu wa JMT) chini ya Ali H.Mwinyi,
Baada ya hapo...