Kikao cha Kamati Kuu ya CCM chaahirishwa

Kikao cha Kamati Kuu ya CCM chaahirishwa

Lowassa ambae hawezi kemea rushwa hata dakika moja ana mkaba koo nani?

Anawakaba koo wewe na wenzako wa upande huo,bahati mbaya saana wewe na mimi hatuko ndani ya hiyo mikutano tungeyaona LIVE...hakuna mwenye ujanja mbele ya huyo Bwana.Ukawa wanamjuwa, na wanapenda asipitishwe kwani ni yeye tu anayeweza tikisa ngome ya ukawa.
 
View attachment 253655
Hawa Mama zangu wamezeeka sana,Sasa wangepumzika kwa kweli!!
Tunawapenda,lakini hii mikikimikiki wangepumzika tu!!

Kinachotakiwa huko sio damu changa wala mawazo mapya, huko sifa ni uwezo wa kuhonga na kuwa mshirikina wa nguvu. Ukiyaweza hayo unafia ndani ya ccm. kwa hiyo kama wewe ni kijana unategemea hizo nafasi na sifa nilizotaja hapo juu huna basi andika umeumia.
 
Maccm yanatukanana yenyewe.... Mlishindwa kumvua gamba mtaweza kumzuia asigombee?

Ni kitu gani ccm ilishawahi kuweza au hata kujaribu kukifanya juu ya wanachama wake mafisadi.

hahaaaa Birigita umenifurahisha sana
 
Wanakazania Lowasa apitishwe ni cdm na ukawa, wanataka apite ili kazi yao majukwaani iwe rahisi kusema ufisadi na kashifa zake
 
Anawakaba koo wewe na wenzako wa upande huo,bahati mbaya saana wewe na mimi hatuko ndani ya hiyo mikutano tungeyaona LIVE...hakuna mwenye ujanja mbele ya huyo Bwana.Ukawa wanamjuwa, na wanapenda asipitishwe kwani ni yeye tu anayeweza tikisa ngome ya ukawa.

hahaaa ukawa hawamuogopi Lowasa wanamjua kwa ufisadi na rushwa na ccm.pia inachomuogopa ndo hicho tu, kama unavyojua pesa ikitumika machafuko yatakuwa mengi coz kuna watu ukiwapa pesa wanaweza hata kukuletea kichwa cha sita
 
UKAWA mkakati wenu wa kumbeba Lowasa CCM wameshaushitukia wanajua wakimpitisha lowasa mtashinda kiurahisi, saa nne asubuhi au saa tano mtakua mmeshashinda
 
Eti MACCM nayo yana kamati ya maadili!!!! Maadili ya nini? Ikiwa pale Ikulu ambalo ni makazi ya Mwenyekiti wao rushwa inagawiwa ndani ya Ikulu, Wabunge wao na Mawaziri ndani ya Bunge na Serikali wanashiriki kwenye wizi, ufisadi, ujangili, upokeaji rushwa, kuficha mabilioni ya pesa Uswiss, kukwepa kulipa kodi na madudu mengine chungu nzima. Hamna chembe ya maadili nyie acheni usanii!!!
 
Lowassa anawatoa roho haya makunyanzi hahaha..... Lazima waombe poo kwa fisadi lowassa
 
Yaani hawa magamba walibugi step sana,wamefuga jini kwenye chupa sasa limetoka wanashindwa kulidhibiti. Huyu jamaa ilitakiwa wakati ule ule wa Mkama wavuane magamba mapema wangepata muda mrefu wa kuponya majeraha but kwa sasa its too late.

We Wanjiru siasa za Kenya zimekushunda mpaka unaingilia huku kwetu?
 
Watu wazima mnazungumzia afya ya mtu msiyemjua.Nani dactari wake kati yenu mnaosema "afya mgogoro''?
Nani kati yetu sote tuna uhakika wa afya zetu??May be some will live forever.Kwani hakuna watu wanaohisiwa kwamba ni wazima kumbe wanapumulia machine?Kumbe hakuna viongozi waliopo madarakani wanaokufa kwa sababu yoyote ile?
Mtu mwenye kisukari(low or high blood sugar),blood pressure(low or high) ni mzima?
Kwa kweli waTanzania tunahitaji kukaguliwa ufahamu na uelewa wetu.
Aliye mzima na mtimilifu ni mmoja tu _MWENYEENZI MUNGU SUBHANNA WATAALLAH
 
Back
Top Bottom