Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
CCM pamoja na kwamba hakijawahi kuomba usajili, ndio chama nambari moja kwenye daftari la msajili wa vyama vya siasa. Kwahiyo wale wote wanaohama vyama vyao na wale wanaojipendekeza kimtindo kama CUF Lipumba wanachagua fungu jema maana wahenga walisema awali ni awali hakuna awali mbovu! Ahsante.