Nani amrithi kikwete 2015?

Nani amrithi kikwete 2015?

Nje ya Sumaye, basi kweli wakati umefika DR. Slaa na wenzake waendeshe nchi, ni kama tu pale 61 ambapo nyerere na wenzake walipewa nchi, tuwape CDM.
 
Kumrithi katika lipi?
Kucheka?
Kupiga picha na watu maarufu?
Kutembeza bakuri?
Kuwapandisha vyeo bandugu bake?
Kutochukua maamuzi sahihi kwa wakati?
Kumrithi nini?
Unamfahamu Sumaye au unamsikia?
Si alikuwa WAZIRI MKUU wakati tunaambiwa BORA TULE MAJANI LAKINI DEGE BOVU linunuliwe????!
 
CCM wote wameoza, ambaye anataka uongozi kupitia CCM am-challenge Kikwete maovu yake hadharani, tujue kama kweli yeye anaubavu sio kutegemea kubebwa na mbeleko. Wote wameoza I mean unawezaje ku-support serikali ya rais dhaifu na bado unakubali kutumiwa kama toilet paper wakati walipa kodi wa nchi hii wanateketea? Tulikuwa na kina Mkwawa, Mirambo na watemi wengi kadhaa ambao hawakukubali kuchukuliwa utumwa raia wao. Ukipitia historia utaona wakwere walikuwa very week na wakachukuliwa utumwa bila lamulamu lolote, sasa kama unaona huwezi kuwakabili watu ambao ni week naturally unaweza kweli kuliongoza hili taifa? Ndio sababu huyu kilaza nchi imemshinda kwa sababu ni jadi yake ati!

CCM haitakuwa na jipya baada 2015. Miaka zaidi ya 50 waliyokaa madarakani imetosha, imetosha. Kwa ufupi CCM imechokwa. Watanzania wanahitaji mabadiliko sasa. DR. Slaa na CHADEMA ndiyo wakuongoza hii nchi kuanzia 2015.
 
DR.SLAA tu anafaa na tuwaombe magufuli na mwakyembe wahame ccm,falsafa zao haziendani na zile za chama chao
 
Salim Ahmed Salim, yule Mpemba wa Mkoani asiye na makundi,nongwa wala visasi.
Mwepesi kusamehe na kusahau,msikivu na mchapa kazi.
Alikua last PM (of the URT)wa Mwalimu Julius Nyerere,
Akawa waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa(+naibu waziri mkuu wa JMT) chini ya Ali H.Mwinyi,
Baada ya hapo akaenda Addis Ababa kama katibu mkuu wa iliyokua OAU na alichapa kazi kama mwafrika mkereketwa.
Kabla ya hapo wengi wanajua historia yake iliyotukuka huko ughaibuni ila kubwa la kukumbukwa ni wakati akiwa mwakilishi wa kudumu umoja wa mataifa enzi za upiganiaji uhuru kusini mwa Afrika.
Salim alitoa mchango usioelezeka kwenye ukombozi wa Msumbiji,Zimbabwe(south rhodesia),Namibia,Angola,Capeverde,n.k, n.k.
Najua wengi humu JF ni wanaharakati,wanavyama vya siasa,wenye mirengo(leftists,rightists na centrists).
Ni wachache sana wako kiuzalendo zaidi.Hivyo natarajia michango iliyopindapinda na hasi kuhusu huyu bwana kubebeshwa jukumu la kuongoza hili Taifa.
Katika kipindi hiki cha mpito kuelekea kwenye kundi la BRICS taifa hili linamhitaji mtu kama Salim.
Sio Silaa,Mbowe,Lowasa,(or the other group of the sixes-Sita,Mwakyembe,Magufuli,etc),Membe,Nchimbi,Asha-Rose.
Wala halihitaji akina Shein,Seif,Hussein Mwinyi,Shamsi Vuai,n.k n.k.Halihitahi Mzanzibari,Mzanzibara,Mtanganyika,Mkaskazini,Mpwani,Mwanamke wala Kijana.Halihitaji ccm,cdm,cuf wala nccr..Linamhitaji MTANZANIA MZALENDO!!
 
Mbuzi ndizi! Kwanini wote watokee Northern circuit?

Nyerere alikuwa wa wapi? Ukanda wa ziwa. Mwinyi akatoka Zanzibar. Che Nkapa katoka kusini. Kikwete ametoka Pwani. Sasa unaona shida gani akitoka kaskazini? Ebo!

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Ukiangalia mafanikio ya Kikwete na ya Mkapa kuhusu uchumiunaangalia chini kilindini na kasha juu kileleni au mbinguni. Serikali ya JKimefeli simple, imefeli kabisa kama ni sekondari imepata division zero, wakatiserikali ya Mzee Mkapa ilipata Division ONE, huenda sio pointi 7 kwa olevellakini ni ONE ya nguvu;

SUMAYE waziri mkuu mstaafu ikiwezekana ndo achukue mikobabased on history ainue uchumi kutoka mfumko wa bei 19.2% hadi 4% kamailivyokuwa wakati mkapa anasaliti nchi na kumpa mkataliwa wa Nyerere nchi,SUMAYE ndo anajua mkapa na yeye walifanya nini, tusifanye chuki na wivu tu,vile mkapa hawezi kurudi ni bora sasa PM wake achukue kazi hiyo.

MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI NA SIFA ZAKE MPENI, mtukanyongwa bila kulia hata kufumba macho basi semeni jamaa alikuwa makakamavuhata kama ndo kisha nyungwa na kufa, usilazimishe eti alikuwa mwoga hapana,SUMAYE SASA OKOA TAIFA. Kupitia chama gani hiyo sio hoja.

Ukiachilia mbali Mkapa kubebwa kwa kiasi kikubwa na Magufuli kipindi kile bado hata Kikwete kabebwa sana na Magufuli, so Mnyonge Mnyongeni lakini haki yake mpeni kamanda Magufuli.
 
Last edited by a moderator:
Ukiangalia mafanikio ya Kikwete na ya Mkapa kuhusu uchumiunaangalia chini kilindini na kasha juu kileleni au mbinguni. Serikali ya JKimefeli simple, imefeli kabisa kama ni sekondari imepata division zero, wakatiserikali ya Mzee Mkapa ilipata Division ONE, huenda sio pointi 7 kwa olevellakini ni ONE ya nguvu;

SUMAYE waziri mkuu mstaafu ikiwezekana ndo achukue mikobabased on history ainue uchumi kutoka mfumko wa bei 19.2% hadi 4% kamailivyokuwa wakati mkapa anasaliti nchi na kumpa mkataliwa wa Nyerere nchi,SUMAYE ndo anajua mkapa na yeye walifanya nini, tusifanye chuki na wivu tu,vile mkapa hawezi kurudi ni bora sasa PM wake achukue kazi hiyo.

MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI NA SIFA ZAKE MPENI, mtukanyongwa bila kulia hata kufumba macho basi semeni jamaa alikuwa makakamavuhata kama ndo kisha nyungwa na kufa, usilazimishe eti alikuwa mwoga hapana,SUMAYE SASA OKOA TAIFA. Kupitia chama gani hiyo sio hoja.


 
Last edited by a moderator:
CCM wote wameoza lakini lazima tupate RAIS, ama ndani au nje ya CCM, rais tunaye mtaka awe na sifa gani katika uchapa kazi?? Je umri ni hoja?
 
MI naona mimi ninafaa kwa sababu nina chuki na ufisadi na nina nia ya kweli kuendeleza nchi yetu tanzania hao wote hawafai
 
Mgombea makini na mwenye nia njema na tz tena akiwa anatoka chama cha CHAUSTA au TADEA.
 
Back
Top Bottom