Recent content by Chris Stevenson

  1. Chris Stevenson

    UVIVU na UZEMBE ni kosa la jinai

    👏👏👏 Na kutokujua sharia siyo sababu ya msingi kukufanya usitiwe hatiani. No One Above the Law
  2. Chris Stevenson

    Fiston Mayele na Litombo Bangala walichomfanyia Inonga ni kumkosea Heshima na kukiuka haki za Binadamu, TFF iingilie kukomesha hii tabia

    🤓 ni msimu mwingine wa maandamano kwa tff dhidi ya Yanga. Hilo nalo halitoshi, kamshitaki hata staili yake ya ushangiliaji kama nayo haisoshi kaseme na magoli yaliyofungwa ni kuiaibisha klabu ya Simba na wachezaji wake.
  3. Chris Stevenson

    Epuka wizi wa taarifa zako binafsi kwenye simu kupitia nyaya za USB

    Very open, na ukikosa password kwenye simu yako ni kinyune na sheria ya nchi kuhusu mitandao.
  4. Chris Stevenson

    Waishio milimani Jijini Mwanza watakiwa kuondoka kupisha mwekezaji

    Hii ndiyo Tanzania, ndoto ya watanzania wengi, simba wa kabila la yuda hayupo tena aliyesababisha nidhamu ya uoga serkalini na kufanya maamuzi mabaya yaliyobeba idadi kubwa ya Watanzania. Hii ndiyo serikali yenye nidhamu ya utii, inayofanya maamuzi kwaajili ya masilahi ya nchi. Je? Yataibeba...
  5. Chris Stevenson

    Hukumu ya Lengai Ole Sabaya yaahirishwa hadi Juni 10, 2022

    Kumbukeni Sabaya alikuwa nani kabla ya kuwa mkuu wa wilaya, Baada ya hapo utapata jibu la kinachoenda kutokea kwenye hukumu ya leo. Kilichotafutwa tayari kilishapatikana, hivyo basi si ajabu sana Sabaya akiachiwa huru.
Back
Top Bottom