🤓 ni msimu mwingine wa maandamano kwa tff dhidi ya Yanga.
Hilo nalo halitoshi, kamshitaki hata staili yake ya ushangiliaji kama nayo haisoshi kaseme na magoli yaliyofungwa ni kuiaibisha klabu ya Simba na wachezaji wake.
Hii ndiyo Tanzania, ndoto ya watanzania wengi, simba wa kabila la yuda hayupo tena aliyesababisha nidhamu ya uoga serkalini na kufanya maamuzi mabaya yaliyobeba idadi kubwa ya Watanzania.
Hii ndiyo serikali yenye nidhamu ya utii, inayofanya maamuzi kwaajili ya masilahi ya nchi.
Je? Yataibeba...
Kumbukeni Sabaya alikuwa nani kabla ya kuwa mkuu wa wilaya, Baada ya hapo utapata jibu la kinachoenda kutokea kwenye hukumu ya leo.
Kilichotafutwa tayari kilishapatikana, hivyo basi si ajabu sana Sabaya akiachiwa huru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.