Kijana mleta maada kuwa makini na uwe tayari kujifunza na kuelewa mambo kutoka kwa wenzako
i) Kanisa katoliki ndio hili lilikuwa linaficha biblia na kukataza watu wasisome kabisa isipokuwa wakasome iliochakachuliwa kwenye marktaba ya dini
ii) walitengeneza vitambulisho na kurubuni watu kuwa...
Napata shida sana kuelewa lengo lako la kumkosoa yeriko nyerere,
i) kuhusu hoja yale ya kuwa jesuits ni majasusi
sasa Maana ya majasusi ni kuua au kutumia akili kufanya mambo fulani kwenye utawala.
ii) Pili Je??? malengo ya kanisa katoliki ni kutawala dunia au Kufanya watu wamjue Mungu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.