Dr Guitar tz
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 312
- 247
Kwa mujibu wa habari ya Idhaa ya Kiswahili DW ya saa 7 mchana huu, inadaiwa kiongozi wa Muungano wa NASA, Raila Odinga eti yupo Tanzania kwa likizo fupi....
Raila alijiapisha siku ya jana kuwa Rais wa Watu wa Kenya kitendo kilicho kinyume na Sheria.
Raila alijiapisha siku ya jana kuwa Rais wa Watu wa Kenya kitendo kilicho kinyume na Sheria.