Asante kwa ushauli.
Ila naswali mm natumia vifaa vya tp link na na vicontrol kwa kutumia amoda cloud control kwa kutengeneza vocha za kukonect wifi ili kuzuia watu wasiingie kwenye mfumo bila ya kuaceas kwa vocha sasa ni repeater ipi itakayo weza kukubali kuendelea ku conect kwa code/vocha...
Pole mkuu kwa changamoto unayopitia.
Tafuta mafuta ya mnyonyo uwe una chua kila siku walau mara mbili au zaidi eneo la uvimbe na maeneo ya mgongo sehemu unapo uma.
Utakaa sawa. Amini
Habari wana jamvi poleni kwa miangaiko na kwa yanayoendelea nchini.
Bila ya kuwachosha niende moja kwa moja kwenye point.
Naombeni wadau wa taaram wa mambo ya tehama kuanzia mfumo mpaka vifaa nisaidieni ni wireless access point ipi nzuri ambayo ni kiifunga kwenye point inaweza kusukuma mawimbi...
Watu wapo moto sana. Nyegere BOY (ww ni habar nord?)
Inshort hii buznes ni nzur ila kuku lipa ina tegemeana na;
1.mahari huduma ulipoiweka.
2.mapokeo ya unaowapa hiyo huduma.
3.provider wanao kupa hyo internet
4. Kama huduma hii umeiweka kwenye taasisi aina ya makubaliano au mikataba mlio peana...
Habari
Mm juzi nmetoka dodoma na boxer 150 bmx had nwanza
Safari ilikuwa hivi nilienda harakat kama kawaida ilivo fika jion nikafanya maandalizi ya servce plus kumwaga oil.
Chuma nikajaza full tank nkatulia getto mida ya saa nne na nusu nka jikoki poa plus kuvaa gadi za miguuni kwenye magoti...
Usafir wwte kuanzia cc100 unaenda vzur tu kwa kuzibgatia service na umwagaj wa oil na uwe unaenda kwa mwendo wa kawaida kama upo kwenye kaziara ka kuangalia mazingira
Alafu jambo lingine kungekuwa na mfumo kwa muongozo wa kisheria kuwa ila wilaya itapata maendeleo kulingana na unacho zalisha au kukusanya walai amna mtu angefanya uzembe kwenye kila nafas yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.