Kipawa iliyobomolewa ni yakule inapojengwa terminal III ya ndege na nyumba ilipo ni ng'ambo ya pili baada ya kuvuka reli ndio unaipita VETA Kipawa then nyumba inafuata
Hamna bomoa bomoa ni maeneo ya makazi kabisa. Na kuhusu majirani ni kwamba kila mtu anafence yake ya ukuta. Yaani kutoka nyumba ilipo hadi VETA ilipo ni mita 100 tu.
Nyumba nzuri ipo Jirani na VETA ya Airport Dar es salaam,ni 1km kutoka nyerere road. Ina fence ya ukuta na fremu tatu kwa nje. Ina vyumba 3 kimoja ni master na choo cha public nafasi ya kutosha kwa parking ya gari mbili. Bei shilingi milioni 140/= Maongezi pia yapo. Mawasiliano ni 0658 283200...
Wanajukwaa nawasalimu. Napenda kufahamu kwa waliokwenda nanenane morogoro kukoje??? Maana nami nataka nijongee huko jumapili nishinde pamoja na jumatatu
Naomba kwa mtu anayefahamu vitu vya ziada zaidi ninavyoweza kufanya kwaaji ya ulinzi wa simu ikiibiwa au mtu akitaka kufungua taarifa za simu yangu,nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.