BASHE AMESEMA JUZI VYOMBO VYETU VYA HABARI VIMEPOTEZA MVUTO KWA JAMII KWA KUTOA POROJO. Nadhani Bashe ameligundua hilo, hivi bado hajawambia wajilekebishe. Gazeti la Uhuru linazidi kupoteza hadhi yake.
Jamani nawashauri mjaribu kupitia matokeo ya resiters pcb mwaka huu mwone, yaani kwa hii kombi ukiresit kutoka ni inshu ndo maana mie naonelea diploma itanifaa af Mungu akijalia nisome degree na kwa swala la unesi, kilimo na ualimu kiukweli hizi field naziheshimu lakini moyo wangu haupo kabisa...
Asante mkuu nimekuelewa unapoint nzuri, mimi nimedhamilia kusoma diploma af niingie degree naona iko sawa au vp. Kingine mimi mwanzoni nilipenda udr lakini matokeo yamenitema na nilikuwa na uhakika wa kufaulu coz hata ukiangalia background yangu nilikuwa fit eg. Form 4 nilipata dv 2 ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.