Uozo: Shida zote nchini gazeti laandika na kutoa kipaumbele habari za Ujauzito wa Mchumba wa Slaa!!

Ta Muganyizi

R I P
Oct 19, 2010
5,361
2,734
Katika hali ambayo imenisikitisha na kunifanya nijiulize mwelekeo wa nchi hii ni pale ambapo katika magazeti ya leo habari za epa, umeme, gavana kubanwa, kesi ya mahalu, Uchumi wa nchi na gavana kuongelea mustakabali wa uchumi wa nchi yetu vimeandikwa na kupewa kipaumbele katika magazeti, wenzetu wale wa magazeti ya Uhuru na Habari leo wametoa kipaumbele kwa habari inayosema kuwa cheti cha ujauzito wa mke/mchumba wa Dr Slaa kina utata mara kingine kinaonesha miezi saba na kingine miezi nane.

Sasa ninachojiuliza matatizo yote yaliyoko nchini wewe unaona uwaeleze wananchi kuwa mimba ya mchumba wa haijulikani ilitungwa lini!! hiyo inamsaidia nini Mtanzania sasa. Sisi kujua mimba ya fulani iliingia siku hii au ile. Ndo maana president wetu alikuwa haijui Dowans. Mnaconcentrate kwenye mimba za watu na kujua na kufuatilia mambo ya ajabu. Sishangai kwa staili hii mtakapoandika kuwa mwanachama wa chama fulani (mwanamke) mwezi huu hajaingia kwenye MP zake maana nimeshangaa. Nafuu habari ingekuwa hata ukurasa wa pili. lakini ndo iko juu kabisa ili watanzania wajue. Kwa nini msitaje waliorudisha fedha za epa kina nani na hizo fedha ziko wapi.

Zile habari za ufisadi kama Chadema wamefanya kwa mfano, tuleteeni tujue kama kuna mapungufu hayo kwenye chama hicho au CUF koote tuone kinachoendelea ili tujue kipi cha kufanya kuikomboa nchi. Sasa mimba ya huyo mama sisi tuifanyeje. Nimesikitika sana. Yaani aibu nasikia kwa kweli. Hata rafiki yangu wa nchi jirani kashangaaa kweli kweli. Maskini Tanzania!!! Mimba, mimba, mimba, kipaumbele kwenye gazeti ambalo si la udaku???!! Sasa global publishers waandike nini?
 
  • Thanks
Reactions: LAT
duh!.hata mim nimeliona mpwa,nikajiuliza ni ngozi nyeusi zenye matatizo au UTZ,coz kweli unatuandikia mambo ya mimba ya mchumba wa silaa kweli,umasikini utaisha kweli?
 
Njaa zinawasumbua hawa wahariri, hapa ni anaandika na kuwaza kwa kutumia tumbo.

Ukuwadi kwenda mbele.
 
Ni utaahira wa waandishi na wahariri wao.Nji hii bana,ndiyo maana rais anasema hajui kwanini Tanzania ni masikini,kama daktari hajui ugonjwa wa mgonjwa wake atatoaje tiba?
 
Kweli inasikitisha mno,tunakoelekea mi cjui,naona kama wingu kubwa sana mbele,mimba au maisha ya mtu labda kala nn au kalala wapi gazetin ambayo cyo udaku ni ulimbuken na fikra ya ajabu sn,c wangeandika basi ya viongozi wao?Sishangai sana maana ni magazeti ya choon ndo yameandika.
 
Hao ndio wanahabari walio karibu kabisa na ccm na jk na ndio maana hana hata cha kuwaeleza Watz mwezi may. ni aibu kubwa watu kuandika habari nyepesi kama hizi na kuacha habari muhimu kwa taifa.
 
waandike bwana! tujue vizuri, anataka kuja kuwa raisi huyu, asije akatunyang'anya wake zetu!
 
Katika hali ambayo imenisikitisha na kunifanya nijiulize mwelekeo wa nchi hii ni pale ambapo katika magazeti ya leo habari za epa, umeme, gavana kubanwa, kesi ya mahalu, Uchumi wa nchi na gavana kuongelea mustakabali wa uchumi wa nchi yetu vimeandikwa na kupewa kipaumbele katika magazeti, wenzetu wale wa magazeti ya Uhuru na Habari leo wametoa kipaumbele kwa habari inayosema kuwa cheti cha ujauzito wa mke/mchumba wa Dr Slaa kina utata mara kingine kinaonesha miezi saba na kingine miezi nane.

Sasa ninachojiuliza matatizo yote yaliyoko nchini wewe unaona uwaeleze wananchi kuwa mimba ya mchumba wa haijulikani ilitungwa lini!! hiyo inamsaidia nini Mtanzania sasa. Sisi kujua mimba ya fulani iliingia siku hii au ile. Ndo maana president wetu alikuwa haijui Dowans. Mnaconcentrate kwenye mimba za watu na kujua na kufuatilia mambo ya ajabu. Sishangai kwa staili hii mtakapoandika kuwa mwanachama wa chama fulani (mwanamke) mwezi huu hajaingia kwenye MP zake maana nimeshangaa. Nafuu habari ingekuwa hata ukurasa wa pili. lakini ndo iko juu kabisa ili watanzania wajue. Kwa nini msitaje waliorudisha fedha za epa kina nani na hizo fedha ziko wapi.

Zile habari za ufisadi kama Chadema wamefanya kwa mfano, tuleteeni tujue kama kuna mapungufu hayo kwenye chama hicho au CUF koote tuone kinachoendelea ili tujue kipi cha kufanya kuikomboa nchi. Sasa mimba ya huyo mama sisi tuifanyeje. Nimesikitika sana. Yaani aibu nasikia kwa kweli. Hata rafiki yangu wa nchi jirani kashangaaa kweli kweli. Maskini Tanzania!!! Mimba, mimba, mimba, kipaumbele kwenye gazeti ambalo si la udaku???!! Sasa global publishers waandike nini?

Kwa kweli ndugu yangu hata mimi ninashangaa kama kweli nchi na watu wake wanafikiria mimba za watu badala ya mambo ya maana hatutafika mahali. Mimba ya Mchumba/mke wa Dr. Slaa haina maslahi ya kitaifa bali maslahi wa wanasiasa uchwara. Hatutegemee maslahi ya wanasiasa uchwara yajipenyeze hadi kwenye ulingo wa Magazeti.
 
waandike bwana! tujue vizuri, anataka kuja kuwa raisi huyu, asije akatunyang'anya wake zetu!

Toa ushamba, kama hayo unayoyasema ni kweli basi iwe kwa Dr. Slaa tu kwa sababu hata aliyeko Ikulu tulitakiwa kuanza naye.
 
Ta Muganyizi

ningejua kukugongea thanks kwa kihaya ningefanya hivyo .... ngoja nikupigie ya kizungu
 
Katika hali ambayo imenisikitisha na kunifanya nijiulize mwelekeo wa nchi hii ni pale ambapo katika magazeti ya leo habari za epa, umeme, gavana kubanwa, kesi ya mahalu, Uchumi wa nchi na gavana kuongelea mustakabali wa uchumi wa nchi yetu vimeandikwa na kupewa kipaumbele katika magazeti, wenzetu wale wa magazeti ya Uhuru na Habari leo wametoa kipaumbele kwa habari inayosema kuwa cheti cha ujauzito wa mke/mchumba wa Dr Slaa kina utata mara kingine kinaonesha miezi saba na kingine miezi nane.

Sasa ninachojiuliza matatizo yote yaliyoko nchini wewe unaona uwaeleze wananchi kuwa mimba ya mchumba wa haijulikani ilitungwa lini!! hiyo inamsaidia nini Mtanzania sasa. Sisi kujua mimba ya fulani iliingia siku hii au ile. Ndo maana president wetu alikuwa haijui Dowans. Mnaconcentrate kwenye mimba za watu na kujua na kufuatilia mambo ya ajabu. Sishangai kwa staili hii mtakapoandika kuwa mwanachama wa chama fulani (mwanamke) mwezi huu hajaingia kwenye MP zake maana nimeshangaa. Nafuu habari ingekuwa hata ukurasa wa pili. lakini ndo iko juu kabisa ili watanzania wajue. Kwa nini msitaje waliorudisha fedha za epa kina nani na hizo fedha ziko wapi.

Zile habari za ufisadi kama Chadema wamefanya kwa mfano, tuleteeni tujue kama kuna mapungufu hayo kwenye chama hicho au CUF koote tuone kinachoendelea ili tujue kipi cha kufanya kuikomboa nchi. Sasa mimba ya huyo mama sisi tuifanyeje. Nimesikitika sana. Yaani aibu nasikia kwa kweli. Hata rafiki yangu wa nchi jirani kashangaaa kweli kweli. Maskini Tanzania!!! Mimba, mimba, mimba, kipaumbele kwenye gazeti ambalo si la udaku???!! Sasa global publishers waandike nini?

hili si gazeti la serikali? hawaoni hayo matatizo hawa jamaa,ndo maana hata the big gambaz hana la kuzungumza mwezi mei.
 
kuna newspaper vendor fulani Arusha stand yupo systematic sana...yeye ameyapanga magazeti yake kwa category (udaku, kiingereza, michezo, kiswahili na dini) sasa nitam-text aliweke hilo gazeti kwenye category ya udaku kuanzia kesho.
 
Huu ni uhalo...shule mbovu,barabara mbovu,elimu mbovu,watu wanalia na umaskini,umeme haupatikani,hospitali hazina dawa,wanafunzi wanakaa sakafuni,yoooote haya hawayaoni badala yake wanaandika juu ya mimba ya mtu mmoja Tanzania tena headline ya gazeti!!,anyway,waliisha chelewa sanaaa,hawawezi tena kuigeuza kujumlisha kuwa kutoa
 
We have got some newspapers to read when we real need to know to which direction is our country heading.
We have also got some newspapers that we can read when we are tired and we need a loughter.
(SANI,BONGO,HABARI LEO,UHURU etc)
 
BASHE AMESEMA JUZI VYOMBO VYETU VYA HABARI VIMEPOTEZA MVUTO KWA JAMII KWA KUTOA POROJO. Nadhani Bashe ameligundua hilo, hivi bado hajawambia wajilekebishe. Gazeti la Uhuru linazidi kupoteza hadhi yake.
 
Back
Top Bottom