Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Katika hali ambayo imenisikitisha na kunifanya nijiulize mwelekeo wa nchi hii ni pale ambapo katika magazeti ya leo habari za epa, umeme, gavana kubanwa, kesi ya mahalu, Uchumi wa nchi na gavana kuongelea mustakabali wa uchumi wa nchi yetu vimeandikwa na kupewa kipaumbele katika magazeti, wenzetu wale wa magazeti ya Uhuru na Habari leo wametoa kipaumbele kwa habari inayosema kuwa cheti cha ujauzito wa mke/mchumba wa Dr Slaa kina utata mara kingine kinaonesha miezi saba na kingine miezi nane.
Sasa ninachojiuliza matatizo yote yaliyoko nchini wewe unaona uwaeleze wananchi kuwa mimba ya mchumba wa haijulikani ilitungwa lini!! hiyo inamsaidia nini Mtanzania sasa. Sisi kujua mimba ya fulani iliingia siku hii au ile. Ndo maana president wetu alikuwa haijui Dowans. Mnaconcentrate kwenye mimba za watu na kujua na kufuatilia mambo ya ajabu. Sishangai kwa staili hii mtakapoandika kuwa mwanachama wa chama fulani (mwanamke) mwezi huu hajaingia kwenye MP zake maana nimeshangaa. Nafuu habari ingekuwa hata ukurasa wa pili. lakini ndo iko juu kabisa ili watanzania wajue. Kwa nini msitaje waliorudisha fedha za epa kina nani na hizo fedha ziko wapi.
Zile habari za ufisadi kama Chadema wamefanya kwa mfano, tuleteeni tujue kama kuna mapungufu hayo kwenye chama hicho au CUF koote tuone kinachoendelea ili tujue kipi cha kufanya kuikomboa nchi. Sasa mimba ya huyo mama sisi tuifanyeje. Nimesikitika sana. Yaani aibu nasikia kwa kweli. Hata rafiki yangu wa nchi jirani kashangaaa kweli kweli. Maskini Tanzania!!! Mimba, mimba, mimba, kipaumbele kwenye gazeti ambalo si la udaku???!! Sasa global publishers waandike nini?
Sasa ninachojiuliza matatizo yote yaliyoko nchini wewe unaona uwaeleze wananchi kuwa mimba ya mchumba wa haijulikani ilitungwa lini!! hiyo inamsaidia nini Mtanzania sasa. Sisi kujua mimba ya fulani iliingia siku hii au ile. Ndo maana president wetu alikuwa haijui Dowans. Mnaconcentrate kwenye mimba za watu na kujua na kufuatilia mambo ya ajabu. Sishangai kwa staili hii mtakapoandika kuwa mwanachama wa chama fulani (mwanamke) mwezi huu hajaingia kwenye MP zake maana nimeshangaa. Nafuu habari ingekuwa hata ukurasa wa pili. lakini ndo iko juu kabisa ili watanzania wajue. Kwa nini msitaje waliorudisha fedha za epa kina nani na hizo fedha ziko wapi.
Zile habari za ufisadi kama Chadema wamefanya kwa mfano, tuleteeni tujue kama kuna mapungufu hayo kwenye chama hicho au CUF koote tuone kinachoendelea ili tujue kipi cha kufanya kuikomboa nchi. Sasa mimba ya huyo mama sisi tuifanyeje. Nimesikitika sana. Yaani aibu nasikia kwa kweli. Hata rafiki yangu wa nchi jirani kashangaaa kweli kweli. Maskini Tanzania!!! Mimba, mimba, mimba, kipaumbele kwenye gazeti ambalo si la udaku???!! Sasa global publishers waandike nini?