Recent content by Chone

  1. Chone

    Siwezi kumpeleka mtoto mdogo shule za bweni

    Mjadala mpya wana jf : Ni wakati gani mtoto wako anatakiwa kupata elimu bora na yenye manufaa kwake ? À. Nursery school ? B. Primary school C. Secondary school ! Mawazo yenu tafadhari
  2. Chone

    Siwezi kumpeleka mtoto mdogo shule za bweni

    Ainisha miaka ambayo unadhani mtoto hatakiwi kwenda boarding
  3. Chone

    Sentensi bora kumtongoza mwanamke!

    Acha mchezo wewe moyo kudondoka hiyo ni ajali. Huwezi kubaki salama!
  4. Chone

    Nyalandu: Tuendelelee kumwombea Tundu Lissu, nimeliona tabasamu la uso wake leo

    Hizi kauli zinazomhusu lisu hazina uhakika,siku hizi hatuelezwi maendeleo yake,nakumbuka mh Mbowe alisema taarifa zote za lisu atazitoa yeye, lakini amekuwa kimya sana kuelezea maendeleo ya kamanda wetu
  5. Chone

    Ni muda mrefu Sasa kwa Kamanda Mabere Marando kutosikika hadharani!

    Hata kule TLP yule jamaa aliyewahi kugombea uraisi sijui kafia wapi anaitwa MTAMWEGA MGAYA
  6. Chone

    Ruvuma: Mtu mmoja auawa kwa kuvamiwa na Tembo wenye hasira

    Nilitembelea wilaya ya Nachingwea, mkoa wa Lindi Wiki moja iliyopita matukio ya tembo kuuwa watu yameshamili.Inasemekana tembo wamekuwa wengi kwelikweli kiasi cha kuvamia makazi ya watu. Katika kijiji cha Namapwia tembo waliua watu Watatu na watu wengine wawili waliuawa katika kijiji cha Likwela...
  7. Chone

    Mbunge wa Bunda Mjini, Ester Bulaya azidiwa na kukimbizwa hospitalini baada ya kuwekwa rumande

    Kwani alikuwa hajui kwamba mkulu amekataza au alitaka kumjaribu? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Chone

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Dirisha la usajili linakaribia kufungwa, tutaipenda kwa lipi? Wakati pengo la kiungo linaonekana? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Chone

    Nini kinamliza mwanamke kitandani?

    Ina maana wameanza kulia kwenye uongozi wa Magu? [emoji3]
  10. Chone

    Waraka maalum wa kujivua Uanachama ndani ya CCM

    Hahahahahahaha post yako imenifurahisha kweli kweli,hivi na wewe unajiita mwana CCM? au uliingia kujifunza siasa? Nadhani unatafuta kilo to haha Jf maana sababu zako ulizotoa hazina mashiko kisiasa
  11. Chone

    Utumishi wamehama kwa Mbwembwe wakati Dodoma Jengo lao halijakamilika

    Huoni kwamba hiyo ni gari la mizigo? watumishi wataenda kwa usafiri mwingine [emoji3]
  12. Chone

    Dk. Mwakyembe: Katiba inampa mamlaka Rais Kuteua na Kutengua Atakavyo

    Bado swali langu halijapata Malibu, bado nahangaika na uelewa kwamba Uteuzi wa Dr. Possi umetenguliwa automatically. Je nafasi inaweza kuzibwa na mteule mwingine? Au kwa kuwa alishateua mtu na mtu huyu akaitumikia nafasi yake basi nafasi hiyo haitoweza kuzibwa.
  13. Chone

    Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG), Waziri wa Sheria na hawa wajiuzulu mara moja

    Wewe sheria unaijua? au unafanya kwa hisia
  14. Chone

    Naibu Waziri, Dkt. Abdallah Possi, ateuliwa kuwa Balozi

    Je katiba inaruhusu kutengua uteuzi na nafasi yake kuzibwa?
Back
Top Bottom