Kiukweli mimi naumizwa sana na huyu dada,hakuna na hawezi kuja tokea kama Rose,naamini ndiye Mungu alimtumia kuja kuwafungua Na Waimbaji wengine wa nyimbo za injili kwamba,Mziki wa injili unaweza kukufanya ukawa na mali,So sad to hear that My favourite gospel singer Rose Muhando is in such...
Nakumbuka siku ambayo meli ilizama kwenye mkondo wa Nungwi vyombo vya habari ambavyo vilikuwa vya kwanza kutangaza ile ajali ni hao SABC,sisi vyombo vyetu vya habari vilikuwa busy wengine wakawa wanaonyesha miss Tanzania,Television ya Taifa ulikuwa ni mwendo wa Rusha roho, Kwa hao SABC...
Daaaa siamini bado kama kweli Roma na wenzake hawajapatikana walipo toka jana, kweli nimewaza kwa uchungu sana, eeeh Mwenyezi Mungu wajalie huko waliko wawe salama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.