Recent content by chokambaya79

  1. chokambaya79

    Adamu na Eva walikuwa na Vitovu (Belly buttons)?

    Tufanye mtu kwa sura yetu na mfano wetu akatawale dunia. Akamuumba Adamu ambaye kijinsia alikuwa mwanamme.
  2. chokambaya79

    Vibweka nyumba za kupanga, unakumbuka nini?

    Kichwa cha habari kilitakiwa kiwe ukuda wa mama mwenye nyumba.
  3. chokambaya79

    Rais Magufuli afanya mazungumzo na Bilionea Dangote

    Mitandao na baadhi ya vyombo vya habari ni wazushi, wanapenda kukuza mambo. Pia kuna baadhi ya watu wana mtimanyongo walishangilia uzarishaji uliposimama, eti kisa upinzani.Acheni roho za korosho kuweni wazalendo tuiombee nchi yetu mema. Pia tumuombee raisi wetu mpendwa.
  4. chokambaya79

    Matatizo ya Flat Screen TV: Umeishakumbana nayo?

    Mi ninayo singsung ya Singapore huu mwaka wa nne.
  5. chokambaya79

    Wakati Tanzania tunasubiri ujio wa BOEING mpya, TRUMP afuta order ya ununuzi wa BOEING

    Hivi kuboresha usafiri wa anga. Pia kukuza shurika letu la ndege kwa kuongeza ndege kubwa za kisasa nayo imekuwa nongwa?. Tuwe wastaarabu haipaswi kupinga mambo mazuri anayofanya Raisi wetu kisa upinzani. Anapofanya vizuri lazima tumpongeze.
  6. chokambaya79

    Manji ahamia Quality Tower iliyopo Quality Center

    Kudaiwa si jambo la ajabu muhimu ni kulipa deni.
  7. chokambaya79

    Kumekucha! Kampuni ya Dangote yaweka kila kitu hadharani hivi punde tu!

    Middle man uchwara wanataka kuhujumu kiwanda?!..
Back
Top Bottom