Recent content by chokaa nyeusi

  1. C

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Untaka kutuambia wewe hujawah liwa kimasihara na umri ulionao
  2. C

    Jamani panya wametafuna tsh. 90000/= sijui nifanyeje?

    Peleka benki... Kma namba bado zinaonekana utapata pesa yko
  3. C

    Msaada wa haraka niende bachelor of physics au veterinary medicine

    Suala LA kuwa nani si muhimu sana ili nataman nipate mawazo kozi ipi itakuwa na faida kwangu huko mbeleni...
  4. C

    Msaada wa haraka niende bachelor of physics au veterinary medicine

    wadau mada kma inavyojieleza niende kusoma kozi ipi kati ya hizo mbili na manufaaa yake huko mbeleni.leo ndo mwisho wa kuthibitisha.......mawazo yenu tafadhali kwani nimekwama
  5. C

    Morogoro: Lori la Mafuta lapata ajali na kulipuka, watu 104 Wapoteza maisha na wengine kujeruhiwa...(Picha zinaogofya)

    ITV super brrand mmeshindwa kuianalyze hbar yenu. Mnakuwa kma mnakimbilia kuripoti... So tendo LA betri lilianza kabla ya watu kuchota mafuta...poor ITV
  6. C

    Morogoro: Lori la Mafuta lapata ajali na kulipuka, watu 104 Wapoteza maisha na wengine kujeruhiwa...(Picha zinaogofya)

    Dah inasikitisha wapo waliopoteza maisha kisa tu walienda shangaa ajali. Tusihukumu sana. RIP all victims
  7. C

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa January Makamba kuwa Waziri wa Mazingira; yeye asema ameyapokea mabadiliko kwa moyo mweupe

    Huyu Jpm alikuwa anamtafutia angle nzuri ya kumla kichwa alikuuwa hajapata... Ila kwa sasa dogo kaingia mzima mzima amekatwaje vizur....
  8. C

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa January Makamba kuwa Waziri wa Mazingira; yeye asema ameyapokea mabadiliko kwa moyo mweupe

    Jpm katika ubora wake...kamwe sharubu hazichezewi... Musiba anaendelea kuwaweka makada matatani...
  9. C

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa January Makamba kuwa Waziri wa Mazingira; yeye asema ameyapokea mabadiliko kwa moyo mweupe

    Huwa wanasemaa.... Hulia na wakwaooo.. Jpm ktk ubora wake.. Kamwe sharubu hazichezewi...
Back
Top Bottom