Sijui umesoma historia ipi Ila niliyoisoma mimi nilipokiwa shule ya msingi miaka ya nyuma inasema,Sultan Said bin Sayyid aliyekuwa mtawala wa Oman aliitwaa Zanzibar na kuitawala kuanzia mwaka 1828 na ulipofika mwaka 1840 akaitwaa Mzizima. Kwakuwa alilichukua eneo la Mzizima bila mapigano ya...
Ubinafsi wa kijinga tu, kuwa na elimu si kujua kila kitu. Anyway cha kufanya click hilo jina la huyo jamaa itafunguka kama hivi hapo chini. Click hapo palipoandikwa start conversation.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.