natamani kweli zile enzi zirudi lol! bibi yangu aliwahi kunisimulia hiyo habari yaani ilikuwa ni kufunika vile vifaa vya midungunyuo baaaas, nadhani enzi hizo wanaume walikuwa na uwezo mkubwa wa kuzuia ny.ge zao tofauti na sasa.:A S 39:
ahahahahha pmoses95 sawa kaka mukubwa nimekusoma, sitarudia tena. Ila wanawake tuna akili nyingi sana kumbuka Adam na Eva/Hawa, kumbuka Samson na Delillah.
Wanaume ishini na wake zenu kwa akili.:shut-mouth:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.