M nadhani Kama issue ni uchovu basi kuwekwe sheria ya dereva wa mabasi ya abiria route ndefu awe ana umbali maalum wa kuendesha na asizidi hapo. Mfano umbali wa mwanza dar mwisho iwe mwanza dodoma then ndo mwisho wake hadi kesho yake arudi mwanza ama achuke route ya dom dar. Pia na kwa basi...
Msingi-Vivian wa kota za NBC naenda kununua ice scream najua atatoka yeye tu nimuone roho itulie sound sina namuogopa wakishua.
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Naona kama bado hujafafanua kiuwazi mkuu, kama awamu inatenganishwa kwa kipindi cha miaka mitano inakuaje walioongoza miaka 10 still tuliitambua kama ni awamu moja badala ya mbili?
Kama utashindwa ku-argue na kuhoji kwa kisingizio hicho basi hamna umuhimu wa kuwa na kichwa chenye ubongo mwingi na kumiliki jibu moja tu la 'UCHOCHEZI'
Naomba mwenye ufahamu ama jibu MFANO ikitokea katika Uchaguzi ujao wa 2020 Rais aliyepo kama anavyofahamika ni wa awamu ya 5 akashindwa uchaguzi je atayechukua madaraka atafaa kuitwa Rais wa awamu ya 6 ama atakuwa ni Rais wa 6 ila awamu ya 5?
Nilivyoelewa mm hiyo taarifa:
F-35 Haiwezi kuonekana isipofire against target na sio haiwezionekana katika radar(completely) hata ifanye nn. Maana Mara itakaposhambulia basi inagive up location yake na kwa kulijua hilo wanaitumia F-35 kupenya ktk area ya adui inakusanya taarifa za target then...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.