Recent content by Chizoba_CzB

  1. Chizoba_CzB

    JamiiForums Tanzania Smart Phone Cameras

    Apps nilizotumiaa nimezitaja mzee
  2. Chizoba_CzB

    JamiiForums Tanzania Mshahara wako unaridhika nao na unakidhi mahitaji yako bila tatizo?

    Mimi binafsi naamini ukishaajiriwa tu wewe ni mtumwa tu wa maisha yako yato hata ulipwe Milion 3 kwa mwezi Kitu kizuri ni kujiajili invest time katika mishe zako hata ukipata 100k kwa mwezi niyako katika mishe zako hupangiwi chochote,kuamka,kurudi home,kuvaa,kupewa maelekezo,kukaa...
  3. Chizoba_CzB

    JamiiForums Tanzania Sahau kuhusu Utajiri kama unafuatisha mifumo

    Uzi wako upo Motivated Mimi nataka Smart Money nataka Deposit $5000 kutokana na uwezo wangu Ni Trade kama nimeweza kutoa Acc $10 to $280 i believe i'm going to make it
  4. Chizoba_CzB

    JamiiForums Tanzania Utajiri ni Siri, na Siri ndio Utajiri wenyewe

    Goood Example ni wachungaji tuu wanajuaa
  5. Chizoba_CzB

    JamiiForums Tanzania Enjoying nature's nature😍

    Hongera sana Mkuu kama hutojali naomba tuongee Dm lets Join Together napiga picha za nature pia napenda nature kama ulivyojieleza hapo juu the same to me napiga picha za simu
  6. Chizoba_CzB

    JamiiForums Tanzania SoC01 Baadhi ya vitu nitakavyowafundisha wanangu kabla ya kifo changu

    Kuna Points nimeziona za Jeff
  7. Chizoba_CzB

    JamiiForums Tanzania Kwanini wazungu huwa hawali sana kama sisi Waafrika?

    Sisi Bongo bila ugali mkubwa au Wali bado hajala [emoji23][emoji23][emoji23] Unakulaa usiku mpk unataka kupasuka
  8. Chizoba_CzB

    JamiiForums Tanzania Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
  9. Chizoba_CzB

    JamiiForums Tanzania Wale tunaopenda vacation, sehemu gani ya utalii Tanzania uliyofika au unatamani kufika?

    Nimetembelea Ngorongoro,Talangile,Lake Mnayara Now naPlan kuingia Serengeti nantalala ndani ya Hifadhi nachukua kibali cha mchana ili nilale Ndani ya Hifadhi Ukipata Pesa Jitoe OUT ukarefreshi Mind
  10. Chizoba_CzB

    JamiiForums Tanzania Wale tunaopenda vacation, sehemu gani ya utalii Tanzania uliyofika au unatamani kufika?

    Umenena Watu wengi wamekariri Kula bata ni Mademu na Bia Bar kwisha lakin kuna raha sana katika kufanya Vocation una refresh sana Mind kichwaa kinakaa sawa mimi sina pesa kivile lakin huwa najibana napiga vocation kwa mwaka mara 1 Vocation ndio kitu ninachokipenda sana
  11. Chizoba_CzB

    JamiiForums Tanzania Ulinzi wa Rais Samia Marekani upoje?

    Amini kama ninavyoamini mimi BADO TUNATAWALIWA
  12. Chizoba_CzB

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani kimekusukuma kufanya ujenzi?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  13. Chizoba_CzB

    JamiiForums Tanzania Kwanini Matajiri wengi wanapendelea kuvaa nguo Rangi ya kijivu?

    Sio matajiri tu hata mimi Binafsi napenda sana rangi ya kijivu naipenda sana
  14. Chizoba_CzB

    JamiiForums Tanzania Ni mkoa gani Tanzania unatamani kuishi?

    MWANZA MWANZA NAPENDA SANA KUPAISHI MTU YOYOTE WA MWANZA NAOMBA UWE MWENUEJI WANGU
  15. Chizoba_CzB

    JamiiForums Tanzania Uliwezaje kutengeneza laki mbili kwa siku?

    Kaka mi nikiwa na mtaji wa $10,000 kwa fx hiyo laki 3 ndogo sana ntatengeneza $500
Back
Top Bottom