Mimi binafsi naamini ukishaajiriwa tu wewe ni mtumwa tu wa maisha yako yato hata ulipwe Milion 3 kwa mwezi
Kitu kizuri ni kujiajili invest time katika mishe zako hata ukipata 100k kwa mwezi niyako katika mishe zako hupangiwi chochote,kuamka,kurudi home,kuvaa,kupewa maelekezo,kukaa...
Uzi wako upo Motivated
Mimi nataka Smart Money nataka Deposit $5000 kutokana na uwezo wangu Ni Trade kama nimeweza kutoa Acc $10 to $280 i believe i'm going to make it
Hongera sana Mkuu kama hutojali naomba tuongee Dm lets Join Together napiga picha za nature pia napenda nature kama ulivyojieleza hapo juu the same to me napiga picha za simu
Nimetembelea Ngorongoro,Talangile,Lake Mnayara Now naPlan kuingia Serengeti nantalala ndani ya Hifadhi nachukua kibali cha mchana ili nilale Ndani ya Hifadhi
Ukipata Pesa Jitoe OUT ukarefreshi Mind
Umenena Watu wengi wamekariri Kula bata ni Mademu na Bia Bar kwisha lakin kuna raha sana katika kufanya Vocation una refresh sana Mind kichwaa kinakaa sawa mimi sina pesa kivile lakin huwa najibana napiga vocation kwa mwaka mara 1
Vocation ndio kitu ninachokipenda sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.