Recent content by Chizi Maarifa

  1. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania CCM hatukutaka kabisa Lissu na Heche wawe wenyeviti. Hawa jamaa hawafai wataiua CHADEMA. Tunaona pengo la Mbowe.

    Mbowe mwishoni alikuwa kiongozi mzuri na mwenye busara. Hasa baada ya kutoka Jela.
  2. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Kwa kumkataa kiongozi wa kanisa, binti yangu kafukuzwa kanisani na kusingiziwa wizi

    Ungepeleka Kanisani sasa maana hapa JF hakuna anayeweza kuthibitisha hayo yote. Peleka ushahidi kanisani
  3. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Mawakili wa Serikali wanaficha nyuso zao kesi ya Lissu?

    Vitoto vya shetani. Mama yao akiviona sijui anawaza nini?
  4. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania CCM hatukutaka kabisa Lissu na Heche wawe wenyeviti. Hawa jamaa hawafai wataiua CHADEMA. Tunaona pengo la Mbowe.

    Mbowe ndo alikuwa anafaa sana kuwa Mwenyekiti wa Chadema. Nikiangalia naona hiki chama kwa sasa kinakuwa cha misimamo mikali. Lissu na Heche hawa ni wabishi na hawataki kusikiliza ya wenzao. Wao wanataka kusimamia wanachomini tu. Wanasahau kuwa kuna wakati wanatakiwa kulegeza wanachikichia...
  5. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Jussa: Kuna watu wamejimilikisha ajenda ya mabadiliko wanataka tuwafuate

    Na wewe jimilikishe kulamba asali. Si kila mtu anachagua atakacho.
  6. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Huu utaratibu wa CR7 kwenye kufunga ndoa yake ni mzuri sana, ni wa kuigwa. Una maoni gani mdau?

    FaizaFoxy faiza foxy ulibadili ID?
  7. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Huu utaratibu wa CR7 kwenye kufunga ndoa yake ni mzuri sana, ni wa kuigwa. Una maoni gani mdau?

    Kila mara tunaambiwa huyu amesilimu na faizafoxy sasa inakuaje tena haya mambo? Mbona mnatuchanganya? Aliendaje Kanisani tena na amesilimu? FaizaFoxy
  8. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Huyu Mwamposa huwa anaachwa na Serikali ya CCM kwakuwa ni ‘chawa’ wao? Hadi Mahakama ipo kimya?

    Mahakama inatakiwa ifanye nini hapa? Au kesi yake ni nini? Kuna mambo kabla hujapost shirikisha watu wenye elimu. Huyu kosa lake ni nini? Ni chawa wa CCM yes. But kwa hili la kuombea kufutiwa kesi anakuwa amekosea nini?
  9. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Tuvae Condom Wandugu, Nasisitiza

    Mi situmi pesa anachopata kwangu ni uboho tu.
  10. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Tuvae Condom Wandugu, Nasisitiza

    Mwantumu amejua kutuchanganya. Na wewe alikuambia ni mimba yako? Mimi aliniambia pia kuwa nimemtia mimba.... Tumeambiwa wanaume 7 kuhusu hilo jambo.
  11. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Video:- Mama mlokole akamatwa akiwanga Babati

    Toto la Kitanga.... Niambie umzima lakini? Hapo matanganian hayajambo?
  12. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Unamkana Allah, lakini unajiita Mwana Adam?

    Allah ni Ibilisi Joka Kuu
  13. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Wadau, ni kiwanja gani kizuri Dar kwa sasa? 🍻🎶

    Benjamin Mkapa Stadium.
  14. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Video:- Mama mlokole akamatwa akiwanga Babati

    Toto la Kitanga.... Niambie umzima lakini? Hapo matanganian hayajambo?
  15. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Mipango ya siri ya Walokole na WAKRISTO kumuua Civilian-Coin kisa hamwamini Yesu Kama Mungu wao imevuja.

    Dish si tu limeyumba limetoka kabisa sehemu yake. Ni chenga moja kwa moja.. we jamaa hukufaaa hata kufungwa jela ulipaswa uwekwe Milembe.
Back
Top Bottom