Hakuna mlokole ambaye anawanga. Ulokole ni kinyume na kuwanga. Automatically mtu anapoanza kuwanga anakuwa ameacha ulokole ikiwa alikuwa mlokole. Ni sawa na kusema Padre na mke wake . Tunajua Padre huwa haoi. So anapooa tu anakosa sifa ya Upadre
HUYU NI CONTENT CREATOR TU HAMNA KITU HAPO. KWANZA MWANAUME UTAJIITAJE BEY MINYODO. yaani amejawa Nyodo? Mwanaume huwezi kuwa na Nyodo. Pia sijaona kama ana mwili wa maana huo unaousema nadhani wewe utakuwa mwembamba sana. Huyu jamaa hayupo serious anatengeneza tu content nlitamani kama sheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.