Mbowe ndo alikuwa anafaa sana kuwa Mwenyekiti wa Chadema. Nikiangalia naona hiki chama kwa sasa kinakuwa cha misimamo mikali.
Lissu na Heche hawa ni wabishi na hawataki kusikiliza ya wenzao. Wao wanataka kusimamia wanachomini tu. Wanasahau kuwa kuna wakati wanatakiwa kulegeza wanachikichia...
Mahakama inatakiwa ifanye nini hapa? Au kesi yake ni nini? Kuna mambo kabla hujapost shirikisha watu wenye elimu. Huyu kosa lake ni nini? Ni chawa wa CCM yes. But kwa hili la kuombea kufutiwa kesi anakuwa amekosea nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.