fedha za ndani ni cheap propaganda,,, wanajua wavivu wa kufikiri mtawamini na kukariri,, kila anakopita utawaona wahisani,,, halafu anasema fedha za ndani,, na deni la taifa linazid kupaa,,,
awamu ya 5 ipo kasi kwenye media ,,inazndua hadi misikiti,, jk angetaka kuzndua everythng nazan muhula mzima angetuma kuzndua barabara za kuunga mikoa kwa rami
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.