Abercrombie13
Member
- Jul 14, 2018
- 65
- 118
Huwez kuwa bora wakt wote ndvyo ninavyoweza kusema baada ya man city kutandikwa tena leo. Mech imeisha kwa city kupigwa nyumban na wolves kwa mabao 2 kwa bila. Hakuna tena mpinzani tuwaache tu liver nao wajitolee gundu la zaid ya miaka 30 sasa kwa kubeba kombe lao mapema. Nawasilisha