Umetumwa wewe
Mzumbe ipi? mbeya, Dar es salaam au morogoro. Kama ilitokea watu wazembe kila chuo wapo kumbuka wakufunzi nao ni binadamu wanaweza ku induce demand zao.
Wilaya ya Rungwe na Busokelo zinazalisha maziwa kwa wingi sana na ng'ombe wazuri wa maziwa wanapatikana kwa bei nafuu. Mitamba na Ndama breed nzuri kutoka kitulo wanapatikana
Mimi na organize wahitaji na kuwapeleka kwa wafugaji moja kwa moja ili kuwaepusha na madalali ambao wanafanya bei kuwa...
Maamuzi hayo ni prospective sio retrospective kwa maana ya kwamba yanafanya kazi kwanzia sasa kusonga mbele, waliolipa hiyo kipind cha nyuma ndo basi tena
Kiongozi unapoteuliwa au kuchaguliwa tambua una wajibu wa kuwarahisishia maisha wananchi wako kama ww unakuwa chanzo cha ugumu wa maisha basi jitathmini kama unafaa kwa wathifa huo, tumezuiwa ku like na kucoment kwenye taarifa mbali mbali hata tukiziona mtandaoni hii haijapata kutokea mahara...
Iyo private hospital inahudumia watanzania pia, ndio maana serikali inaingia nao ubia kwenye kutoa huduma za msingi bila kuwatoza pesa wananchi, kama huduma za mama na mtoto chini ya miaka mitano
Kama ww pia ulisoma apo unatuaminishaje kwamba ww ulipata kwa Uwezo wako, nilichogundua we bwana mpotoshaji mkubwa wakufunzi uliowataja ni makini saana saana kwenye maswala ya kitaaruma bila shaka ulishindwa kugraduate kwa Uwezo wako unatafuta visababu. Ww nisawa na mwanafunzi alieferi shule ya...
Umesoma chuo gani ww mbona unamawazo mgando sana au unakaza ubongo tu, mzumbe university chuo bora angalia kwenye rank za kila mwaka. Chuo kina wakufunzi wenye sifa na vigezo sio kweli kwamba wanatumia outsource Lecturers. Mzumbe is the center of excellence in management and business education...
Umesahau official response ya kabudi mara baada ya azimio la bunge la ulaya, we have been granted right to be heard but we never know how to use it
Ndio maana walihoji matumizi ya euro 27m for Corona prohibition punde baada ya kuzipokea tukaitangazia dunia kwamba the country has Corona free...
Tanzania ya 1965 tofauti kabisa na hii ya sasa prof. Alitosha kuwa muhadhiri tu diplomasia haiwez wafadhiri wetu wataona hiyo ni official response ya nchi mpaka itapelekea kuchukua hatua zaidi ya apo bado Tanzania nchi ndogo saana zaidi ya asilimia 50 ya budget yetu tunawategemea wao.
Alipaswa...
Mandamus, this is the remedy provided by the high Court to compile the public authority to perform public duties
Condition for mandamus(compiling order)
The applicant must have sufficient interest
The applicant must request performance and authority refuse to perform
The function must be...
Ujumbe wako unakuvua nguo ndugu yangu demokrasia gani maamuzi yanapitishwa kwa wabunge wote kugonga meza hakuna mawazo mbadala, wabunge wote wamepewa dhamana na chama tawala unataka wamkosoe mwenyekiti wao wa chama kumbuka maswala ya escrow, epa Richmond namna wapinzani walivopigania mali hizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.