minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Anza kumkamata mtukufu kwa kuficha mikataba mipya ya madini na pia mwambie chenji ya pesa za kampeni na pesa za corona azirejeshePesa za umma zilitafunwa lazima walizozikwapua wakamatwe.
Anza kumkamata mtukufu kwa kuficha mikataba mipya ya madini na pia mwambie chenji ya pesa za kampeni na pesa za corona azirejeshePesa za umma zilitafunwa lazima walizozikwapua wakamatwe.
Kwa Akili zako finyu ulizani ulizani utazawadiwa uteuzi kwa mada yako ya kifala falaPumbavu
Ushasema ujaenda shule. Kwa nn? Tupoteze nguvu kuangaika na watu ambao hawajenda shuleJapokuwa sijaenda shule kwa sana ila najua ninayo haki ya kufile writ of mandamus ili Pccb wafanye kazi kwa mujibu wa sheria.
Viongozi wa Chadema walitafuna zaidi ya bil nane na ushahidi wa kimazingira unaonyesha wazi kuwa walizitafuna.
Tunamshukuru Mwita Waitara kwa kuibua huu ufisadi na kuupa umma wa watanzania ukweli jinsi ruzuku na michango ya wanachama ilivyotafunwa kama karanga mbichi.
Nipo kwenye hatua za mwisho kufile hii applicationi ili mahakama kuu itoe amri Pccb watekeleze wajibu wao. Maana ushahidi upo wazi kabisa, kwa nini wanawaacha wanazurula mitaani kama vile hawana makosa.
Ni siri yangu ni High Court gani naenda kuweka ombi langu. Tayari nimekamilisha kila kitu. Nina uchungu na mali ya umma ambayo ilitafunwa bila sababu za maana na watu kufanyia matanuzi Chako ni chako Dodoma.
Uendawazimu sio lazima uvue nguo wahi milembe haraka sana , chato airport , 1.5 tilioni , 276 bilioni ujenzi , voti namba 20 ikulu , ununuzi wa ndege , Pimbi kweli wewe .Japokuwa sijaenda shule kwa sana ila najua ninayo haki ya kufile writ of mandamus ili Pccb wafanye kazi kwa mujibu wa sheria.
Viongozi wa Chadema walitafuna zaidi ya bil nane na ushahidi wa kimazingira unaonyesha wazi kuwa walizitafuna.
Tunamshukuru Mwita Waitara kwa kuibua huu ufisadi na kuupa umma wa watanzania ukweli jinsi ruzuku na michango ya wanachama ilivyotafunwa kama karanga mbichi.
Nipo kwenye hatua za mwisho kufile hii applicationi ili mahakama kuu itoe amri Pccb watekeleze wajibu wao. Maana ushahidi upo wazi kabisa, kwa nini wanawaacha wanazurula mitaani kama vile hawana makosa.
Ni siri yangu ni High Court gani naenda kuweka ombi langu. Tayari nimekamilisha kila kitu. Nina uchungu na mali ya umma ambayo ilitafunwa bila sababu za maana na watu kufanyia matanuzi Chako ni chako Dodoma.
Kwanini usimpeleke bwana yako huko kwa kosa la kukufumua ....rii...ndJapokuwa sijaenda shule kwa sana ila najua ninayo haki ya kufile writ of mandamus ili Pccb wafanye kazi kwa mujibu wa sheria.
Viongozi wa Chadema walitafuna zaidi ya bil nane na ushahidi wa kimazingira unaonyesha wazi kuwa walizitafuna.
Tunamshukuru Mwita Waitara kwa kuibua huu ufisadi na kuupa umma wa watanzania ukweli jinsi ruzuku na michango ya wanachama ilivyotafunwa kama karanga mbichi.
Nipo kwenye hatua za mwisho kufile hii applicationi ili mahakama kuu itoe amri Pccb watekeleze wajibu wao. Maana ushahidi upo wazi kabisa, kwa nini wanawaacha wanazurula mitaani kama vile hawana makosa.
Ni siri yangu ni High Court gani naenda kuweka ombi langu. Tayari nimekamilisha kila kitu. Nina uchungu na mali ya umma ambayo ilitafunwa bila sababu za maana na watu kufanyia matanuzi Chako ni chako Dodoma.
Hata hizo zinazotumika kununua wapinzani ni hela binafsi za watu wenye mapenzi na chamaUna uchungu na hela za watu wenye mapenzi binafsi na chama unaacha kodi za serikali zilizotumika kununua wapinzani ambazo ni hela zetu wote.
Kwa akili za nyumbu wanaona Kunakosa dogo na kubwa mbele ya Sheria.Hivi kuna kosa dogo na kubwa mbele ya sheria?
Nani kakushauri hu ujinga?Japokuwa sijaenda shule kwa sana ila najua ninayo haki ya kufile writ of mandamus ili Pccb wafanye kazi kwa mujibu wa sheria.
Viongozi wa Chadema walitafuna zaidi ya bil nane na ushahidi wa kimazingira unaonyesha wazi kuwa walizitafuna.
Tunamshukuru Mwita Waitara kwa kuibua huu ufisadi na kuupa umma wa watanzania ukweli jinsi ruzuku na michango ya wanachama ilivyotafunwa kama karanga mbichi.
Nipo kwenye hatua za mwisho kufile hii applicationi ili mahakama kuu itoe amri Pccb watekeleze wajibu wao. Maana ushahidi upo wazi kabisa, kwa nini wanawaacha wanazurula mitaani kama vile hawana makosa.
Ni siri yangu ni High Court gani naenda kuweka ombi langu. Tayari nimekamilisha kila kitu. Nina uchungu na mali ya umma ambayo ilitafunwa bila sababu za maana na watu kufanyia matanuzi Chako ni chako Dodoma.
Sasa unatuomba ruhusa?! Kama unaona inafaa we nenda kwani ni haki yakoYaani watu watafune mali ya umma tuwaache?
NyoooooooHata hizo zinazotumika kununua wapinzani ni hela binafsi za watu wenye mapenzi na chama
Baada ya kusema aujaenda shule sana nimegundua wewe ni mlemavuJapokuwa sijaenda shule kwa sana ila najua ninayo haki ya kufile writ of mandamus ili Pccb wafanye kazi kwa mujibu wa sheria.
Viongozi wa Chadema walitafuna zaidi ya bil nane na ushahidi wa kimazingira unaonyesha wazi kuwa walizitafuna.
Tunamshukuru Mwita Waitara kwa kuibua huu ufisadi na kuupa umma wa watanzania ukweli jinsi ruzuku na michango ya wanachama ilivyotafunwa kama karanga mbichi.
Nipo kwenye hatua za mwisho kufile hii applicationi ili mahakama kuu itoe amri Pccb watekeleze wajibu wao. Maana ushahidi upo wazi kabisa, kwa nini wanawaacha wanazurula mitaani kama vile hawana makosa.
Ni siri yangu ni High Court gani naenda kuweka ombi langu. Tayari nimekamilisha kila kitu. Nina uchungu na mali ya umma ambayo ilitafunwa bila sababu za maana na watu kufanyia matanuzi Chako ni chako Dodoma.
Nadhani mwandishi anazungumzia viongozi wa CHADEMA na siyo CHADEMA. Tutofautishe chama na watu ktk chama.Kuna Mambo yanavumilika ila tusivuke mipaka chadema wamtendewa kila ovu hapa duniani hakuna rangi hawajaona hebu waacheni maana hata paka ukimchokoza sana anaweza kukuuwa.
Mandamus, this is the remedy provided by the high Court to compile the public authority to perform public dutiesJapokuwa sijaenda shule kwa sana ila najua ninayo haki ya kufile writ of mandamus ili Pccb wafanye kazi kwa mujibu wa sheria.
Viongozi wa Chadema walitafuna zaidi ya bil nane na ushahidi wa kimazingira unaonyesha wazi kuwa walizitafuna.
Tunamshukuru Mwita Waitara kwa kuibua huu ufisadi na kuupa umma wa watanzania ukweli jinsi ruzuku na michango ya wanachama ilivyotafunwa kama karanga mbichi.
Nipo kwenye hatua za mwisho kufile hii applicationi ili mahakama kuu itoe amri Pccb watekeleze wajibu wao. Maana ushahidi upo wazi kabisa, kwa nini wanawaacha wanazurula mitaani kama vile hawana makosa.
Ni siri yangu ni High Court gani naenda kuweka ombi langu. Tayari nimekamilisha kila kitu. Nina uchungu na mali ya umma ambayo ilitafunwa bila sababu za maana na watu kufanyia matanuzi Chako ni chako Dodoma.
Jambo jema, ingawa sheria inayokupa uhuru wa kufanya hivyo Magufuli ameshaifuta ama yupo kwenye hatuwa za mwisho za kuifuta!. Hivyo fanya haraka iwezekanavyo kama bado haijafutwa.Japokuwa sijaenda shule kwa sana ila najua ninayo haki ya kufile writ of mandamus ili Pccb wafanye kazi kwa mujibu wa sheria.
Viongozi wa Chadema walitafuna zaidi ya bil nane na ushahidi wa kimazingira unaonyesha wazi kuwa walizitafuna.
Tunamshukuru Mwita Waitara kwa kuibua huu ufisadi na kuupa umma wa watanzania ukweli jinsi ruzuku na michango ya wanachama ilivyotafunwa kama karanga mbichi.
Nipo kwenye hatua za mwisho kufile hii applicationi ili mahakama kuu itoe amri Pccb watekeleze wajibu wao. Maana ushahidi upo wazi kabisa, kwa nini wanawaacha wanazurula mitaani kama vile hawana makosa.
Ni siri yangu ni High Court gani naenda kuweka ombi langu. Tayari nimekamilisha kila kitu. Nina uchungu na mali ya umma ambayo ilitafunwa bila sababu za maana na watu kufanyia matanuzi Chako ni chako Dodoma.
Ninamekamilisha vigezo vyote mkuu. Kodi niliyolipa na ikapelekwa Chadema kama ruzuku imetafunwa,hapo sina interest?
Mpaka sasa Pccb na Dpp hawajafanya maamuzi ya kuwakamata na kuwapeleka mahakamani wahusika, wananchi wamepiga kelele sana.
Yaliyobaki majibu yapo wazi kabisa.
Ila wewe Jamaa ni Msengle sanaJapokuwa sijaenda shule kwa sana ila najua ninayo haki ya kufile writ of mandamus ili Pccb wafanye kazi kwa mujibu wa sheria.
Viongozi wa Chadema walitafuna zaidi ya bil nane na ushahidi wa kimazingira unaonyesha wazi kuwa walizitafuna.
Tunamshukuru Mwita Waitara kwa kuibua huu ufisadi na kuupa umma wa watanzania ukweli jinsi ruzuku na michango ya wanachama ilivyotafunwa kama karanga mbichi.
Nipo kwenye hatua za mwisho kufile hii applicationi ili mahakama kuu itoe amri Pccb watekeleze wajibu wao. Maana ushahidi upo wazi kabisa, kwa nini wanawaacha wanazurula mitaani kama vile hawana makosa.
Ni siri yangu ni High Court gani naenda kuweka ombi langu. Tayari nimekamilisha kila kitu. Nina uchungu na mali ya umma ambayo ilitafunwa bila sababu za maana na watu kufanyia matanuzi Chako ni chako Dodoma.
Japokuwa sijaenda shule kwa sana ila najua ninayo haki ya kufile writ of mandamus ili Pccb wafanye kazi kwa mujibu wa sheria.
Viongozi wa Chadema walitafuna zaidi ya bil nane na ushahidi wa kimazingira unaonyesha wazi kuwa walizitafuna.
Tunamshukuru Mwita Waitara kwa kuibua huu ufisadi na kuupa umma wa watanzania ukweli jinsi ruzuku na michango ya wanachama ilivyotafunwa kama karanga mbichi.
Nipo kwenye hatua za mwisho kufile hii applicationi ili mahakama kuu itoe amri Pccb watekeleze wajibu wao. Maana ushahidi upo wazi kabisa, kwa nini wanawaacha wanazurula mitaani kama vile hawana makosa.
Ni siri yangu ni High Court gani naenda kuweka ombi langu. Tayari nimekamilisha kila kitu. Nina uchungu na mali ya umma ambayo ilitafunwa bila sababu za maana na watu kufanyia matanuzi Chako ni chako Dodoma.