Huo ni muendelezo wa Unafiki tu.! Kwa hiyo hizo passport zao zimeandikwa namba za magari yao? Iweje wengine watajwe kwa uhusiano na flani wengine plate number? Kwa unafiki huu hii vita dhidi ya madawa ya kulevya haitofanikiwa. R.I.P Amina Chifupa.....
Mkuu vp kuhusu mbunge wa Mtwara hajakamatwa kwa uchochezi? Au kwa vile ni mbunge wa chama twawala? Sipati picha angekuwa ni mbunge wa Chadema hapo..! Difenda zote zingehamia nyumbani kwake kama wanaenda kukamata jambazi vile...!
Ni kweli kabisa sasa hivi wanaplani kitu cha kufunika hii issue, kwa wenye akili tumegundua lile tukio la kulipua kanisa ni mpango wao ili kuzima issue ya JANGILI KINANA dhidi ya MENO YA TEMBO, hata kipindi kile cha kashfa ya ufisadi wa EPA,MEREMETA,DEEP GREEN, na vyote vilivyomweka ------...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.