Habarini zenu mimi naitwa SEME nipo makete natafuta mke wa kuoa sifa :-
-Awe na hofu ya mungu
-Awe na chura aka mzigo
-Awe na swaga kali kwa maana me naendaga maeneo nakutana na watu wa maana.
-Elimu ya kidato cha nne.
-Awe na kazi sitaki kuombwa hela
-Asiwe na bwawa
-Asiwe singo maza
-Awe...
Acha kujibu simu zake, text zake ukiweza achana na hiyo number then uwe busy sana na mambo zako... Ikishindika nenda ka mganga akupe dawa ya yeye kukuchukia
Nimeamua kubembeleza leo ajue npo nae ila few days later nabadili namba zangu zote atanipa matatizo huyu mwanamke.. Hela zenyewe sina sijui anataka roho yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.