Kichwa cha dushe kinawasha

Kichwa cha dushe kinawasha

Status
Not open for further replies.
Wakuu leo nimeamka kwenda kukojoa naona kichwa cha dushe (kimlija kwa ndani) kinawasha,

Yaani muwasho flani hivi ambao mpaka sasa naona unanisumbua sumbua hapo nipo tu nabinya binya dushe,

Hivi tatizo linaweza kuwa nini wakuu.
itakuwa you tea i kama siyo dalili ya kisonono na fungus.kwa maelezo zaidi kamwone dakitari
 
Dalili mbaya hiyo mkuu kifuatacho utawashwa na huko ktk tundu ya haja.. Nenda hospital ukapigwe bomba inawezekana unafukua mitaro
 
Dalili mbaya hiyo mkuu kifuatacho utawashwa na huko ktk tundu ya haja.. Nenda hospital ukapigwe bomba inawezekana unafukua mitaro
Sijawahi kufukua mtaro mkuu tangu nazaliwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom