Najiuliza, nani zaidi kati ya Magufuli na Membe? Mie nadhani Magufuli ana advantage sana maana Membe kwanza ataathirika na kundi la Lowassa, pili Membe ana makundi magufuli hana, Tatu kashfa ya membe kuwa ktk familia ya mkuu wa kaya yaweza muondolea sifa hiyo, lakini pia ukilinganisha utendaji...
Mkuu nimependa sana, niliwasiliana na ndugu yangu ili anunue yeye anitumie, akasema, lazima nilipie ushuru na mambo kibao, ila pia sijajua gharama za kutuma kuja huku haiwezi kuwa very expensive? Na mzigo kama tv, unaweza kufika bila kuharibika kweli? Naomba unijuze mkuu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.