King'amuzi cha contineto cha settelite

King'amuzi cha contineto cha settelite

Hivi naweza kupata LED Samsung Tv series 5 si 6 inch 51 to 60 wapi? Nna bajeti ya 2 mil.
 
Nataka nitumie dstv na continental kwa dish moja maana kuna baadhi ya chennel za dstv hao continental hawana au nikiamisha angle channel za dstv hazipotei?

Inawezekana lkn unamuitaji Nguli wa satelite...
Nimeona ktk forum za wakenya na wanaija wako creative sana
Angalia hii picha sina hakika kama mafundi wa kwetu wanaweza Continental wako Amos 5 17 degrees east na DSTV wako eutelsat 36 degrees east
Kwenye hii picha huyu mdau anazishika zote....hivo iwapo ukimpata funi kama huyu basi utaingia cosst ya kununua tu LNB na labda LNB holder

32mt.jpg
 
Inawezekana lkn unamuitaji Nguli wa satelite...
Nimeona ktk forum za wakenya na wanaija wako creative sana
Angalia hii picha sina hakika kama mafundi wa kwetu wanaweza Continental wako Amos 5 17 degrees east na DSTV wako eutelsat 36 degrees east
Kwenye hii picha huyu mdau anazishika zote....hivo iwapo ukimpata funi kama huyu basi utaingia cosst ya kununua tu LNB na labda LNB holder

Tatizo watu wanapenda kutumia nyungo ndogo kupata channel za KU.Hata ukitumia ungo wa ft6 unaweza kupata satellite nyingi iwezekanavyo.Kwa kutumia ft 6 utapata Continental na DSTv bila shida yoyote.
 
naipata continental kama fta tangu mwezi wa6.nawashangaa sana watumiaji wa azam
 
naipata continental kama fta tangu mwezi wa6.nawashangaa sana watumiaji wa azam

Azam napenda channel yao moja inaitwa Investigation Discovery...Hii inaonesha crimes ambazo huwa zinafanyika USA na jinsi FBI wanavyo zittackle na crime hizi mara nyingi ni zile za Mke kumuua mme au vice versa
Hii channel inawafaa Medical investigator/Forensic pathologist ambao wanachunguza mtu kafa je...pia kwa wale askari inawafaa pia

Hii channel tayari mm inanitofautisha Azam na continental maana pia ipo kwenye dstv
 
Inawezekana lkn unamuitaji Nguli wa satelite...
Nimeona ktk forum za wakenya na wanaija wako creative sana
Angalia hii picha sina hakika kama mafundi wa kwetu wanaweza Continental wako Amos 5 17 degrees east na DSTV wako eutelsat 36 degrees east
Kwenye hii picha huyu mdau anazishika zote....hivo iwapo ukimpata funi kama huyu basi utaingia cosst ya kununua tu LNB na labda LNB holder

32mt.jpg

Huwezi kutumia dish moja kwa ving'amuzi viwili. Maana kitendo cha kubadili angle tu utakuwa ume disturb hiyo ya dstv. Cha kufanya hapo lazima uwe na dish 2 na king,amuzi chenye kuweza kupokea cards zote mbili, then unkuwa na switch ya kupokea LNB signals mbili zote na ku combined kwenda ktk decoder hiyo... Unless uwe na ving'amuzi viwili na nyungo mbili... NJUNWA MFAFANULIE ZAID

Roger Dat.
 
Hizi decoder mpya za continental unaweza kutumia dish au Antena, ni uhamuzi wako.
 
Nimefulaishwa na maelezo mazuri sana ya kiufundi ambayo yametolewa basi kama waitaji msaada wakiufundi pia ushauli wadau tupo nafunga setilite zaidi ya 20 ni mkongwe kwenye hii game
 
Nimefulaishwa na maelezo mazuri sana ya kiufundi ambayo yametolewa basi kama waitaji msaada wakiufundi pia ushauli wadau tupo nafunga setilite zaidi ya 20 ni mkongwe kwenye hii game

Unaweza funga Amos 5 na Eutelsat w4 kwenye dish moja kwa LNB mbili?
 
Huwezi kutumia dish moja kwa ving'amuzi viwili. Maana kitendo cha kubadili angle tu utakuwa ume disturb hiyo ya dstv. Cha kufanya hapo lazima uwe na dish 2 na king,amuzi chenye kuweza kupokea cards zote mbili, then unkuwa na switch ya kupokea LNB signals mbili zote na ku combined kwenda ktk decoder hiyo... Unless uwe na ving'amuzi viwili na nyungo mbili... NJUNWA MFAFANULIE ZAID

ulicho kiandika hapa haukijui..

jibu nikua inawezekana na sio lazma ubadili angle ili uipate dstv..

unaweza kucombine astra2f,dstv na hao continetal ktk dish moja na kila ku ukaingiza ktk swich na maisha yakaendelea tu.

ila continetal utatumia rcvr yao apo baadae na dstv utatumia dstv mana hazi sapoti fta.

astra utatumia rcvr yeyote ambayo ni mpeg4 fta.

kusema haiwezekani ni dhambi kubwa sana ktk fta.
 
Nataka nitumie dstv na continental kwa dish moja maana kuna baadhi ya chennel za dstv hao continental hawana au nikiamisha angle channel za dstv hazipotei?

uko mkoa gani.? kunamikoa mingine sio lazima ubadili angle nikuongeza ku tu basi maisha ya fta yanaendelea.

na unaweza kuzipata astra,dstv na continental ktk dish moja bila tatizo lolote na kama dish ni kubwa basi azam na wakina zuku na wachina wa startimes wanapatikana pia.

very simple.
 
Azam napenda channel yao moja inaitwa Investigation Discovery...Hii inaonesha crimes ambazo huwa zinafanyika USA na jinsi FBI wanavyo zittackle na crime hizi mara nyingi ni zile za Mke kumuua mme au vice versa
Hii channel inawafaa Medical investigator/Forensic pathologist ambao wanachunguza mtu kafa je...pia kwa wale askari inawafaa pia

Hii channel tayari mm inanitofautisha Azam na continental maana pia ipo kwenye dstv
Hicho kiinglishi unakionaje kwa maafande wetu? Hata hivyo kuangalia/kusikiliza/kusoma vitu vinvyohitaji critical thinking ni kipaji huoni muvi nyingi zinazopendwa hapa tanganyika ni zile za mitutu na vipigo....huitaji kuhangaisha ubongo wako....pupupupu......!
 
Back
Top Bottom