Ili kupunguza gharama kwako ongea na mwenyenyumba wako akupe mkataba ambao haujajazwa,then kama unalipa kodi laki moja kwa mwezi wewe andika unalipa 30000 kwa mwezi, itakupungizia gharama badala ya kulipa 60000 utalipa 15000
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za wakati huu wakuu. Nimengoa jino tarehe 20 december 2018 lakini mpaka dakika hii fizi inaniuma sana. Dawa nilizopewa pamoja na za maumivu zimeisha na nimeongeza zingine lakini fizi bado tatizo.
Naomba kuwasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.