Mayai

Mayai

Dah...siku ikifika...bidhaa ikatoka kwa mzalishaji na kwenda kwa mlaji moja kwa moja...bila kupitia kwa huyu mlanguzi...mnyonyaji...mpanga bei...mvivu...mlaliaji.....tutakuwa tumepiga hatua muhimu ya uchumi wetu....

Na hao wa kati wale wapi?
 
Mtoni ni wapi tuelekeze tafadhali

Mkoa - Dar es salaam
Wilaya -Temeke
Kata- Mtoni Mtongani

Wakurya kila siku wanapitisha na baiskeli
Tray 5,000 - 6,000
Moja 200 - 250
Hata kwenye maduka huko Mtongani wanauza hivyo hivyo.
 
Magari ya mbagala ndio kuna kituo cha mtongani?

magari yapo yanaenda mtongani pale pale na yapo yanayoenda mbagala unashukia mtongani, tena ukiwapata wale wakurya ndiyo vizuri.
 
Na hao wa kati wale wapi?
Dah...wakafuge na wao...siyo wanampangia mfugaji bei ya kununua....halafu wanampangia mlaji bei ya kumuuzia....Bora hata wangekuwa wanatengenezea chips yai angalau wangeongeza thamani. Huko mbele kutokana na kukua kwa teknolojia...tayari madalali wameanza kuzisoma...walaji wengi wameanza kununua moja kwa moja kutoka kwa mzalishaji. Itafika na huku na mtazisoma tu
 
magari yapo yanaenda mtongani pale pale na yapo yanayoenda mbagala unashukia mtongani, tena ukiwapata wale wakurya ndiyo vizuri.
Ohhhh kwa hiyo kama Mimi nipo kimara nikifika mawasiliano nipande magari ya mtoni mtongani si ndio
 
Mkoa - Dar es salaam
Wilaya -Temeke
Kata- Mtoni Mtongani

Wakurya kila siku wanapitisha na baiskeli
Tray 5,000 - 6,000
Moja 200 - 250
Hata kwenye maduka huko Mtongani wanauza hivyo hivyo.
Mi niko around na Mtongani ni mtaa gani wanauza bei hiyo kwa hizo tray maana ukosema wakurya si mpaka uwagumie na baiskeli zao naomba msaada zaidi tafadhari,kichangani,kwa kabuma,bokorani,madafu,juhudi,soko mjinga,kizinga,mashine ya maji,msikitini au wapi ndugu yangu?.Ahsanteh
 
Mi niko around na Mtongani ni mtaa gani wanauza bei hiyo kwa hizo tray maana ukosema wakurya si mpaka uwagumie na baiskeli zao naomba msaada zaidi tafadhari,kichangani,kwa kabuma,bokorani,madafu,juhudi,soko mjinga,kizinga,mashine ya maji,msikitini au wapi ndugu yangu?.Ahsanteh

Mimi sio mkazi wa huko hata majina uliyoorodhesha hapo siyajui, nilienda kutembea wakapita hao wakurya kuuliza nikaambiwa tray 6,000 nikichukua tray nyingi bei inapungua ...nikitaka moja moja 200.

Nikamuuliza mwenyeji wangu maana kwangu ilikua bei cheap akasema ndiyo bei zao nikitaka dukani wao wanauza 250.

Mtongani upande wa kulia ukiwa unatokea kwa Azizi Ally.... unaingia mtaani huko.

Kama ni mwenyeji utajua panaitwaje.
 
Mimi sio mkazi wa huko hata majina uliyoorodhesha hapo siyajui, nilienda kutembea wakapita hao wakurya kuuliza nikaambiwa tray 6,000 nikichukua tray nyingi bei inapungua ...nikitaka moja moja 200.

Nikamuuliza mwenyeji wangu maana kwangu ilikua bei cheap akasema ndiyo bei zao nikitaka dukani wao wanauza 250.

Mtongani upande wa kulia ukiwa unatokea kwa Azizi Ally.... unaingia mtaani huko.

Kama ni mwenyeji utajua panaitwaje.
Ilikuwa lini ..... .
 
Mimi sio mkazi wa huko hata majina uliyoorodhesha hapo siyajui, nilienda kutembea wakapita hao wakurya kuuliza nikaambiwa tray 6,000 nikichukua tray nyingi bei inapungua ...nikitaka moja moja 200.

Nikamuuliza mwenyeji wangu maana kwangu ilikua bei cheap akasema ndiyo bei zao nikitaka dukani wao wanauza 250.

Mtongani upande wa kulia ukiwa unatokea kwa Azizi Ally.... unaingia mtaani huko.

Kama ni mwenyeji utajua panaitwaje.
Anhaa ni kwa kabuma Mkuu inapakana na Bokorani.
 
MTU akifika mtongani anapanda gari ngingine au inakuwa je?
Mtongani na kwa azizi ally kati kati ya Mkuu na Mtongani na kwa azizi ally ni umbali kama metre 300-400 ko ukishuka Mtongani utafanya kama unaenda tena Mjini na assume umetokea mjini una ambaa na upande huo huo uloshukia ukiuliza kuhusu hizo ishu za mayai nazani utapata muongozo vizuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom