Habari za jioni wadau!
TARURA na mfumo wao wa maegesho maeneo ya mijini imekuwa na udanganyifu mkubwa sana.
Imetokea mara 2 naangalia kama nadaiwa nakuta deni na ukifuatilia naonesha maeneo ambayo sijawahi kwenda na nilipata fursa ya kupata msaada wa mtu wa TARURA nikaambiwa walipiga picha...
Uache kabisa gharama za kusafirisha maiti yako, usitake kutupa mizigo ya bure. Kwani tukikuchoma moto au tukikuzika mabwepande utatufanya nini na ushakufa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nitofautiane na wewe kidogo;
1. Katika magari, kama gari ina gia 12, ndogo ni ya 12 kama ni la gia 5 basi ndogo ni ya 5.
Ukubwa wa gia unaaniza kwenye namba 1 na unaendelea kushuka. Hata kwenye mfumo wa gearbox ukiangalia mpangilio kubwa kabisa ndo namba 1 na ndogo kabisa ndo ile mwisho...
Kurudi Serikalini siyo ishu, mwambie tu akaage haitamcost chochote. Hapo kinachofuata ni dismisal kwa sababu ya utoro na ni mbaya sana kwenye CV yake na hakuna ajuaye kesho atakuwa wapi na atakuwa nani
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua ili mtu aweze kuthibisha au kuamini kile unachokisema au unachokiandika lazima uwe na chanzo. Je ni mwazo yako binafsi au umejifunza sehemu na kama umejifunza naomba kujua vyanzo vya elimu hii?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.