Recent content by Childhood diplomacy

  1. Childhood diplomacy

    Historia ya maisha yangu. sina raha.

    Kisuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu Ukarudi tena kuchomwa na kisuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu ila kuna visu vitamuuuuuuuuuuuuuuuu
  2. Childhood diplomacy

    Natafuta mume mwenye umri kati ya miaka 33-36

    Owaya angeweka vigezo asingeolewa
  3. Childhood diplomacy

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    kama ulishaipata shukru sana mimi saiz huu mwezi wa pili ambacho walikifanya walinipa namba ya kampuni ambako nilikosea ndo wanairudishie mpka nimekata tamaa ############Yajayo wanafurahisha wanasema ivo...
  4. Childhood diplomacy

    Marekani kuweka masharti mapya ya viza

    Inaonekana unajuwa kuliko mtoa mada..................... mimi ninachokifahamu ukiwa una VISA ya inchi mojawapo za ulaya ambayo VISA yao inaitwa Schengen VISA , inauwezo wa kwenda inchi zote za bala la Ulaya na sio marekani ....
  5. Childhood diplomacy

    WANAO SIKIKA NI UPANDE MUMOJA TU? KWA NINI HIVYO?

    WANAO SIKIKA NI UPANDE MUMOJA TU? KWA NINI HIVYO? Kiongozi wa mtandao wa wanafunzi Tanzania hajasikika akisema lolote, lakini wao wanafikili sisi ni wajinga kiasi gani? Mbona ROMA, hawakusema kajiteka? Swali?Langu apana.. Nilitaka niseme JAMANI NAOMBA MUNIOMBEE KAMA MNAVYOMUOMBEA RAIS WENU...
  6. Childhood diplomacy

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Ngoja nijaribu coz sijatumia Vodocom 2 years , na nilianza kutumia tena kwa sababu ya kauri za watu kama wewe sasa leo nitahama rasim nione kama nitashindwa kutumia coz mimi sina mkataba na mitandao ya simu
  7. Childhood diplomacy

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Pumbavuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu kama VODACOM
  8. Childhood diplomacy

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Mimi niliwahi kusimuliwa na mtu kuwa VODOCOM sio watu wazuri wanachelewesha reversal , nilikataa na nikamwambia mimi nikipiga simu huwa hawachukuwi muda mrefu, masaa 72 yalikuwa hayafiki napata muamala na kuna siku nakumbuka nilifanyiwa reversal within the day, Ndungu yangu kama vile niliomba na...
  9. Childhood diplomacy

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    VODACOM Wezi sana nimejaribu kuwafuata kwenye page yao , wananiambia huo ndo utaratibu wao , niko na rafiki yangu mumoja hapa alikosea pesa ofcoz ni uzembe lakini ilikaa wiki mbili, ukipiga simu wanongea ongea, mimi nafikili cha msingi this time naenda kuleft huduma hii
  10. Childhood diplomacy

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Masaa yalishapita ,wanaongea mapichapicha tu......... ahsante ;ushauri mzuri
Back
Top Bottom