Hii si mala ya kwanza watu kutajwa hadharani,hii naweza kusema ni falfasafa ya awamu ya 5 yenyewe inaendesha inchi kwa uwazi zaidi.Walitajwa mafisadi,wahujumu uchumi,wala rushwa,waliotumia vibaya madaraka yao wafanyakazi hewa,nk na tumeona matunda yake, saizi ofisi yoyote ukienda unanyenyekewa...
Kwanza unapaswa kuelewa kwamba aliyetangaza ni rais wa mkoa pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa,kwa maana ya kwamba hatma ya usalama ya wananchi wa mkoa ipo mkononi mwake uhalifu unapozidi yeye ataonekana mkoa umemshinda na wewe utakuwa wa kwanza kumlaumu as long as vyombo...
TANGIA MAKONDA UWATAJE DRUG DEALERS HADHARANI UMENIPA KIBARUA CHA KUKUOMBEA,NAUNGA MKONO JUHUDI HIZO USIOGOPE MKONO WA MUNGU UPO JUU YAKO.MUNGU ANATAFUTA MWENYE HAKI MMOJA ATAKAYESIMAMA MAHALI PALIPOBOMOKA,
BIBLIA ndiyo kitabu pekee kilichobadili maisha yangu ambacho natamani kila mtu akisome, kabla ya hapo nilikuwa na maisha ya mashaka mashaka sana;mfano mke wangu alikuwa kila mimba anayopata mtoto anazaliwa akiwa mfu, watu walianza kutucheka na kutusema vibaya, lakini kitabu hiki { BIBLIA }...
ni kweli lakini wizara ya mambo ya ndani ni nyeti zaidi manake usalama ukiwa "F" hakuna atakaelima wala kufanya chochote, si umesikia Tanga watu wameyahama makazi yao kwa kuhofia usalama wao.
hiyo ni kweli, na hii inatokana na ukweli kwamba usipofata ama kuzingatia matakwa ya chama unaweza kupoteza nafasi ya uongozi hata kama wananchi wanakupenda.
Da..................Inasikitisha kama taifa linakuwa na wasomi wa namna hii.Kurudi siyo tatizo lakini alipaswa atoe hoja zenye mashiko kushawishi uma ukubaliane na swala la yeye kula matapishi yake, kabla hajatoka aliita press conference na kutoa sababu kadhaa za yeye kufanya maamuzi kama yale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.