Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu nashindwa kuelewa ni nn kimetokea kwenye simu yangu kwan siwezi tena kudownload Application yoyote badala yake naandikiwa download pending mda wote hadi naamua kucancel. Data zipo
Naombeni msaada kwa mwenye uelewa na jambo hili kila ninapochomeka adapter ili niweze kucharge huwa cursor inaganda na ninashindwa kuendelea na kazi hadi pale inapojaa na kuichomoa kwenye moto ndipo niendelee na kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.