Recent content by chiko_bronx

  1. chiko_bronx

    Wake kama hawa hivi bado wapo?

    Wapo wengi tuu wewe tuu
  2. chiko_bronx

    Serikali kutumia kigezo cha kujitolea kuajiri Walimu siyo haki

    Uwongo km 2000 wapi acha izo ww akuna distance ya km 2000 kwa tz hapa hata kutoka mtwara mpaka bukoba co km 2000ni km 1700..
  3. chiko_bronx

    Anatishia kumwambia mumewe kuwa tumewahi kudate

    Ww ni mtu wa ovyo sana kuwa mbabe acha ujinga ivi unakubali vipi mwanamke akupelekeshe muache aseme uyo malaya tuu..
  4. chiko_bronx

    Nahitaji mchumba wa kiume, ukivutiwa na vigezo vyangu karibu

    Kuna shida sehemu sio bure..
  5. chiko_bronx

    Kipindi yupo bikra alinikataa ila baada ya kuzalishwa ananitaka

    Sasa kama kazalishwa wanini uyo bac na ww mzalishe afu umpige chini tuu iyo ndo dawa....
  6. chiko_bronx

    Mama ni Mama tu

    Nimekosea nikajua mtoa mada ww ni mwanaume kumbe ni mwanamke...
  7. chiko_bronx

    Mama ni Mama tu

    Kumbuka na ww ni mwanaume utazaa mtoto atampenda sana mama ake kuliko ww utajiskiaje???
  8. chiko_bronx

    Dhahabu iliyobaki Tanzania: Full Bright Prof. Lipumba #MchumiTufikishe

    Yani yy kila mwaka anagombea na hapitiii ivi uraisi ungekua miaks 2 2 ingekuwa raha sana.
  9. chiko_bronx

    Kwanini Magari madogo hayatumii Dizeli yanatumia petrol?

    Kwa sababu diseal ni mafuta mazito yanahitaji engine kubwa na petrol ni mafuta mepesi yanahitaji engine ndogo...
Back
Top Bottom