Wakuu heshima sana!
Tafadhali naomba msaada wa jinsi ya kufanya malipo kwenye netflix. Awali sikuwa na shida na nilitumia VISA card kujisajili kwa ajili ya malipo. Baada ya VISA card ku-expire nikapewa mastercard. Lakini nikitaka ku-update payment kwa kuingiza namba mpya za kadi yangu ya...
Wanajamvi heshima mbele.
Naomba kujua kwa mwenye uelewa mzuri kuhusu vyuo vya India vinavyotoa Degree ya Engineering (Civil) na makadirio ya gharama zake. Nina binti yangu nataka nimpeleke huko. Naomba pia kwa anaejua anishauri njia rahisi za kuomba nafasi na pia ubora wa elimu yao.
Nawasilisha
Wadau habari zenu.
Niko Arusha, nataka kufanya biashara ya viwatilifu/pembejeo za kilimo. Naomba msaada kwa anayejua Suppliers na mbinu za hii biashara. Mtaji ni mdogo kwa hiyo sio biashara kubwa kivilee.
Wadau habari zenu.
Niko Arusha, nataka kufanya biashara ya viwatilifu/pembejeo za kilimo. Naomba msaada kwa anayejua Suppliers na mbinu za hii biashara. Mtaji ni mdogo kwa hiyo sio biashara kubwa kivilee.
Ndio tatizo lenu panzi wa kijani. Anatafuta suluhisho kutoka kutoka kwa watu waliotengeneza tatizo kwa makusudi. Kama wangekuwa wanajali haki kusingekuwa na mgogoro huo tunaouzungumzia.
Mkuu uchochezi uko wapi hapo? Kwa nini kila anayehoji masuala ya haki mnamwita mchochezi? Suala ni kumtahadharisha Maalim Seif awe makini na asikubali kurubuniwa. Au wewe akirubuniwa ndio unaona haki imetendeka?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.