Hivi akina Pfunk,Man walter na kina pancho wamesomea sound engeneer? Au Mrema wa precision air amesomea urubani? anyway si lazima nifanye mwenyewe, naamini wapo wataalamu ila hawajajaliwa kupata funds za kuanzisha studio zao
Nafikiria kuanzisha Music recording Studio, wataalamu nisaidieni nahitaji kuwa na vitu/equipments gani kufanikisha hili? Na naweza vipata wapi Dar es salaam hii?
Kuna scenarios hapa zinazofanya CHADEMA kuonekana inafanya vizuri, achilia mbali ukweli kwamba CDM ina - accelerate na CCM ina deccelerate, ama lugha nyingine ni kusema CDM wameshinda at an increasing rate na CCM wameshinda at a decreasing rate.Hii bado ni nzuri kwa CDM na ni Mbaya kwa CCM...
Kuna scenarios hapa zinazofanya CHADEMA kuonekana inafanya vizuri, achilia mbali ukweli kwamba CDM ina - accelerate na CCM ina deccelerate, ama lugha nyingine ni kusema CDM wameshinda at an increasing rate na CCM wameshinda at a decreasing rate.Hii bado ni nzuri kwa CDM na ni Mbaya kwa CCM...
Jamani Ka-uncle kangu kanasumbuliwa na ugonjwa ambao mpaka sasa haujajulikana mahospitali, vituo vya maombi tumemaliza, nashawishika kuhamia tiba mbadala za asili na jadi.Mwenye kujua mganga yeyote mwenye uwezo mkubwa kutibu matatizo mbalimbali tafadhali msaada.Hata hivyo sijapoteza imani ya...
Abdul 28, Farid ni raia na mwanajeshi wa huko na alifukuzwa jeshini na nchini kwa uchochezi wake kakimbilia TZ mkoani Zanzibar tumempokea, kaanza fujo zake unataka tukae kimya. Sina shaka na uwezo wako wa kifikra kwamba ni mdogo sana.
Unasema watz wengi wako arabuni na wanasema ni wazenj ili...
In case you are in need for a part time accountant, here i am. I am employed already and would like to utilize my full capacity. I am a DBA,an ADA,PGDBA-Finance holder, with 4yrs of experience in the field of accountancy & finance. For any enquiry call 0765829257
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.