Natafuta tiba

chigwiye

JF-Expert Member
Oct 28, 2010
352
59
Jamani Ka-uncle kangu kanasumbuliwa na ugonjwa ambao mpaka sasa haujajulikana mahospitali, vituo vya maombi tumemaliza, nashawishika kuhamia tiba mbadala za asili na jadi.Mwenye kujua mganga yeyote mwenye uwezo mkubwa kutibu matatizo mbalimbali tafadhali msaada.Hata hivyo sijapoteza imani ya uponyaji wa kimungu bado mnaweza nisaidia namna ya kupata uponya huo kwa uncle wangu. Naendelea kuhitaji msaada pia wa tiba za kisayansi

Maelezo
-Ni binti wa sekondari
-Hupaliwa ghafla na kuanza kukohoa mfululizo kwa dk zisizopungua 20, hutoa kelele kali na kilio kikali then hupoteza fahamu, wakati mwingine hujinyonganyonga mwili kama mtu anayeumwa tumbo kali la kukata. Azindukapo hafahamu chochote kilichotokea kabla.
-Amepewa likizo shuleni na ameambiwa asirudi shule mpaka atakapopona, kwa kuwa limekuwa la mara kwa mara na kiasi cha kuwachosha uongozi wa shule

Natanguliza shukrani zangu
 
Jamani Ka-uncle kangu kanasumbuliwa na ugonjwa ambao mpaka sasa haujajulikana mahospitali, vituo vya maombi tumemaliza, nashawishika kuhamia tiba mbadala za asili na jadi.Mwenye kujua mganga yeyote mwenye uwezo mkubwa kutibu matatizo mbalimbali tafadhali msaada.Hata hivyo sijapoteza imani ya uponyaji wa kimungu bado mnaweza nisaidia namna ya kupata uponya huo kwa uncle wangu. Naendelea kuhitaji msaada pia wa tiba za kisayansi

Maelezo
-Ni binti wa sekondari
-Hupaliwa ghafla na kuanza kukohoa mfululizo kwa dk zisizopungua 20, hutoa kelele kali na kilio kikali then hupoteza fahamu, wakati mwingine hujinyonganyonga mwili kama mtu anayeumwa tumbo kali la kukata. Azindukapo hafahamu chochote kilichotokea kabla.
-Amepewa likizo shuleni na ameambiwa asirudi shule mpaka atakapopona, kwa kuwa limekuwa la mara kwa mara na kiasi cha kuwachosha uongozi wa shule

Natanguliza shukrani zangu

Mimi naona kama unakabiliwa na wakati wa kufanya maamuzi magumu, nakwambia kwa maana ndio itakua itimisho kwa maisha ya uncle wako kama mfano ukichagua tiba yake iwe DAMU YA YESU ILIYO MWAGIKA PALE GOLGOTA MSALABAN ILI TUWE WA UFALME TENA basi jua atakua huru daima, lakini kama ukienda kwa waganga na mizimu na wengineo wasiojua yupo Mungu aliye hai ukasema ndio tiba basi jua uncle atakua mtumwa daima juu ya kutaka uzima, utakua umempeleka pasipo uaminifu. Nakusihi omba kujua roho wakweli yu wapi uende hapo haraka, hata hapa na jua wapo wenye shuhuda naomba msimwache huyu ateseke mtendeeni mema kama mlivyotendewa. Pole sana
 
Kwanini haya maradhi yasiyoeleweka huwapata sana wanafunzi wakike hasa wa form 2 na 3?
 
Mimi naona kama unakabiliwa na wakati wa kufanya maamuzi magumu, nakwambia kwa maana ndio itakua itimisho kwa maisha ya uncle wako kama mfano ukichagua tiba yake iwe DAMU YA YESU ILIYO MWAGIKA PALE GOLGOTA MSALABAN ILI TUWE WA UFALME TENA basi jua atakua huru daima, lakini kama ukienda kwa waganga na mizimu na wengineo wasiojua yupo Mungu aliye hai ukasema ndio tiba basi jua uncle atakua mtumwa daima juu ya kutaka uzima, utakua umempeleka pasipo uaminifu. Nakusihi omba kujua roho wakweli yu wapi uende hapo haraka, hata hapa na jua wapo wenye shuhuda naomba msimwache huyu ateseke mtendeeni mema kama mlivyotendewa. Pole sana
Asante jotojiwe, nakubaliana nawe.
 
jamani ka-uncle kangu kanasumbuliwa na ugonjwa ambao mpaka sasa haujajulikana mahospitali, vituo vya maombi tumemaliza, nashawishika kuhamia tiba mbadala za asili na jadi.mwenye kujua mganga yeyote mwenye uwezo mkubwa kutibu matatizo mbalimbali tafadhali msaada.hata hivyo sijapoteza imani ya uponyaji wa kimungu bado mnaweza nisaidia namna ya kupata uponya huo kwa uncle wangu. Naendelea kuhitaji msaada pia wa tiba za kisayansi

maelezo
-ni binti wa sekondari
-hupaliwa ghafla na kuanza kukohoa mfululizo kwa dk zisizopungua 20, hutoa kelele kali na kilio kikali then hupoteza fahamu, wakati mwingine hujinyonganyonga mwili kama mtu anayeumwa tumbo kali la kukata. Azindukapo hafahamu chochote kilichotokea kabla.
-amepewa likizo shuleni na ameambiwa asirudi shule mpaka atakapopona, kwa kuwa limekuwa la mara kwa mara na kiasi cha kuwachosha uongozi wa shule

natanguliza shukrani zangu
inavyoonyesha huyo bint ana jini limemwingia, na tabia ya majini ni kuchezea watu ili kuwapoteza kiimani na uweze kutii sheria zake na masharti yake, nakushauri kwa ujumla ninyi wanafamilia mutafute viongozi wa kiroho walio safi sio wale nusux2 na wadumu ktk kumuombea, na huyo binti mumujenge kisaikologia aamini kwamba atapona naye adumu ktk kumuomba mungu hakika kwa uwezo wa mungu yatakimbia na yataondoka. Kwa sababu lengo lake litakuwa limeshindwa kutimia. Yasikutieni wasix2 majini ni maoga sana hasa pale unapomtaja mungu, kwa hiyo nyote mkidumu ktk imani isiyotetereka atapona tena kwa haraka kwa uwezo wa mungu.
 
Back
Top Bottom