Jamani Ka-uncle kangu kanasumbuliwa na ugonjwa ambao mpaka sasa haujajulikana mahospitali, vituo vya maombi tumemaliza, nashawishika kuhamia tiba mbadala za asili na jadi.Mwenye kujua mganga yeyote mwenye uwezo mkubwa kutibu matatizo mbalimbali tafadhali msaada.Hata hivyo sijapoteza imani ya uponyaji wa kimungu bado mnaweza nisaidia namna ya kupata uponya huo kwa uncle wangu. Naendelea kuhitaji msaada pia wa tiba za kisayansi
Maelezo
-Ni binti wa sekondari
-Hupaliwa ghafla na kuanza kukohoa mfululizo kwa dk zisizopungua 20, hutoa kelele kali na kilio kikali then hupoteza fahamu, wakati mwingine hujinyonganyonga mwili kama mtu anayeumwa tumbo kali la kukata. Azindukapo hafahamu chochote kilichotokea kabla.
-Amepewa likizo shuleni na ameambiwa asirudi shule mpaka atakapopona, kwa kuwa limekuwa la mara kwa mara na kiasi cha kuwachosha uongozi wa shule
Natanguliza shukrani zangu
Maelezo
-Ni binti wa sekondari
-Hupaliwa ghafla na kuanza kukohoa mfululizo kwa dk zisizopungua 20, hutoa kelele kali na kilio kikali then hupoteza fahamu, wakati mwingine hujinyonganyonga mwili kama mtu anayeumwa tumbo kali la kukata. Azindukapo hafahamu chochote kilichotokea kabla.
-Amepewa likizo shuleni na ameambiwa asirudi shule mpaka atakapopona, kwa kuwa limekuwa la mara kwa mara na kiasi cha kuwachosha uongozi wa shule
Natanguliza shukrani zangu