Jaman msishangae kuona post kama hizo,watu wana stress za maisha baada ya chuo,so jamaa anapunguza stress;
Kwa fact ambazo ziko wazi na ztadumu kuwa hivo ni kuwa UDSM inachukua div 1&2 pekee kwa B.A education na div 1,2,3 kwa B.S education,na hao wote lazma awe na Credit 5 za o'level,yaan C...